KAMANDA!!
Hapa umeuwa MAGAMBA kabisa. pongezi zako Mkuu.
View attachment 76291
Kamanda Lema, Heche na Nasari wakiwapungia wakazi Arusha...Leo nisiku ya Chadema Arusha mgamba yamenuna je...
kuna wingu kubwa limetanda hapa arusha baada ya lema kuingia katikati ya jiji!!
siasa za bongo ni pasua kichwa,hakuna ustaarabu hapa.tutaishia kuwa masikini kwani nchi kama marekani,ghana,kenya, rwanda n.k hawafanyi siasa za kitoto km hizi.tunapoteza muda mwingi sana kwenye siasa kuliko kutimiza wajibu kwa wapiga kura na walipa kodi.Kila aliyepewa dhamana na atimize wajibu wake.Tusigeuze Tanzania kuwa nchi ya malumbano ya kisisasa kila kukicha au ndio kusema mmepoteza ushawishi kwa wananchi na ndio wenye nchi.
kuna wingu kubwa limetanda hapa arusha baada ya lema kuingia katikati ya jiji!!
Ee Mungu waweza hata kuchukua Roho yangu sasa baada ya kuiona siku hii niliyoisubiri kwa hamu
Zitto yupo kwenye mapokezi??au atasema wamemtenga!
Ee Mungu waweza hata kuchukua Roho yangu sasa baada ya kuiona siku hii niliyoisubiri kwa hamu
Leo ni viroba tu na ganja.
Zitto si mchapa ruzuku ya chama ni mtoto mwadilifu.
Kulikuwa na ulazima wa Heche kwenda Arusha. Ruzuku ruzuku ruzuku.