PICHA: Mapokezi ya Godbless Lema jijini Arusha - Disemba 22, 2012

PICHA: Mapokezi ya Godbless Lema jijini Arusha - Disemba 22, 2012

ImageUploadedByJamiiForums1356170161.986745.jpg

tengeru hapo
 
kwa wasioamini kuwa chadema inapendwa waende philips!
 
Yu wapi fisadi wa meno ya tembo abdulahamani kinana, aone jinsi mwenye jimbo anavopokelewa na wapiga kura wake? wanathibitisha huyo ndiyo chaguo lao.CCM walitafuta watu kwa shida wakiwashawishi kwa mbinu mbalimbali wakampokee KINANA waliishia patupu, wakati mwingine ni vema kuukubali ukweli na kuiacha democrasia kuchukuwa mkondo wake.Watanzania waachwe kuchagua na kushiriki maendeleo na viongozi wanaowapenda na kuwachagua kwa ridhaa yao, wasilazimishe kutawaliwa - Hiari yashinda utumwa, CCM wanapaswa kulifahamu hilo.
 
Mkuu jamani tunaomba msherekee kwa amani na upendo isije tokea ya watu watatu tena,ushindi tayari kwa hiyo amani daima.
 
kila la kheri watu wa Chadema huko Arusha! Watu wa aina ya Lema wapo Wengi sana Chadema' Acha Zitto Kabwe aende zake msaliti mkubwa!
 
Nipo hapa philips ni balaa,its amazing watu wamejiandaa kama vile raisi wa africa anapita.
 
Leo bora boda boda na wao wajipatie ulaji. Sijui zimekodishwa ngapi kwa kazi hii.

usikariri maisha,lini cdm walishakodisha boda boda hapa arusha? Wanajitoa wenyewe kupigania haki kaka
 
CDM inabidi mjipange kiulinzi. Endesheni magari yenu kwa makini. Magamba wanawezatuma roli likawafanya kitu mbaya. MUNGU awalinde.
 
Mwone huyu mchawi Ritz; mtumwa anavyowanga! Hapa kwetu viroba + ganja ni kawaida kutokana serikali yako unayokutumikisha inavyoruhusu kutumika!
MKUU huyu RITZ achana nae yeye mwenyewe anabwia hivyo vitu,aliahidiwa maisha bora na raisi wake dhaifu hadi leo hajayapata,aliahidiwa ajira milioni nazo hamna kitu kwa nini asifakamie viroba na ganja huwa humwoni pale kipawa njia ya airport????.
 
kwa wale walioko maeneo mbalimbali ya Arusha tuweke picha za matukio mbalimbali kuhusiana na mapokezi ya kamanda Godbless Lema.

View attachment 76249
inasemekana hili ndilo gari la wazi atakalopanda kamanda Lema

View attachment 76250
makamanda wa boda boda maeneo ya philips wakijiandaa kuelekea KIA(hata wanyama kama mbwa wametaharuki)


View attachment 76251

makamanda mbalimbali wakijiandaa na maandalizi!!


more pics to come....!

MKUU!

Mbona kimya kabisa mkuu?

Tulioko mbali na Arusha mnatuacha roho juu MKUU!!!!!!!

Tuhabarisheni zaidi wakuu eeeeeeeeeeeeee...........!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom