Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,977
- 25,303
.....Kamanda Lema..ni....jembe la kiangazi na masika...!!!!!!!!!!!!!!!..... ........halitegemei utamibiri wa hali ya hewa !!!!!!
Mbona star tv walikuwa hawafungaman naupande wowote imekuwaje tena?ime amua kujivunjia heshima mbele ya jamii wawe makini wasijewakasusiwa matangazo
unapenda chafu hali ya hewa kam ayule mnyama aitwae fungo anaykunya sehemu moja hadi panakuwa uozo kila mahali.Hivi unawaona watu wa arusha, kam wa dar wanaoishi kiujanja ujanja.Mbona unajisugua sana na watu kama mwanamke aliyeachika.Sasa virba vikinyweka ni vyako au unaona wivu?Leo ni viroba tu na ganja.
hakuna bodaboda asiye na bendera CDM.Ukimwona katundika ya CCM ujue kakodishwa hela mingi kiasi cha kuja waeleza wenzie habari inayoweza washawishi kuwa alistahili kushika najisi.Leo bora boda boda na wao wajipatie ulaji. Sijui zimekodishwa ngapi kwa kazi hii.
teh teh..huyo mtei si unayedhani.Umbea wnu upo juu sana.Koo za wachaga nyingine ni kubwa kiasi watu hawajuani.naona hadi baba mkwee katoa mabus yake yabebe washabiki...mtei bus
teh teh..huyo mtei si unayedhani.Umbea wnu upo juu sana.Koo za wachaga nyingine ni kubwa kiasi watu hawajuani.
KKumbe na wewe umo katika mambo hayo.Leo ni viroba tu na ganja.
naona hadi baba mkwee katoa mabus yake yabebe washabiki...mtei bus
Leo ni viroba tu na ganja.
Join Date : 13th October 2012-hongera kupata ajira Lumumba!!Alianza usumbufu wa kutembelea majimbo mbalimbali nchi nzima ndiyo maana kamati ya ufundi ikiongozwa na wazee wazima akina Mangula wameona arejeshwe mjengoni ili M4C iwe kushney. Kwa fukuta CDM maana wanazidi kujianika hata kama coverage ya media itakuwa ni ushind wa Lema, viva CCM, RIP CDM
halafu hawa jamaa hawajui huyu mtei ana mabasi yanazidi 100 nje ya haya ya marcopolo yaendayo dar/ar ,ana mabasi ya Tanga na mengine yaendayo njia ya vumbi(njia ya siingida ,karatu ,mbulu etc), huwezi kaa arusha kd 3 yasipitie hayo magari ndio maana ktk event km hii msongamano wa magari kuna uwezekano wa kuyapata ktk picture.Mkuu Nicholas kuna majuha mengine hapa Jf ni kuyaacha yapotoke tu sababu gharama za kuyaelimisha ni kubwa kuliko kuwekeza kwenye kizazi kipya kitakacho yaishi haya mabadiliko tunayoyapigania!
Sikukumbuki kukuambia ww mropokaji kuwa mimi ni CCM,umeropoka vema mropokaji.Na ndo tatizo lako pamoja na waropokaji wenzio kuwa mtu yeyote anayetofautiana na ninyi ni CCM.Mtaiua Chadema kama ambavyo maadui wake wanavyotabili.Kama ni hivyo, mbona CCM YENU HAIKUSHINDA.
ACHA KUROPOKA WEWE!!
siasa za bongo ni pasua kichwa,hakuna ustaarabu hapa.tutaishia kuwa masikini kwani nchi kama marekani,ghana,kenya, rwanda n.k hawafanyi siasa za kitoto km hizi.tunapoteza muda mwingi sana kwenye siasa kuliko kutimiza wajibu kwa wapiga kura na walipa kodi.Kila aliyepewa dhamana na atimize wajibu wake.Tusigeuze Tanzania kuwa nchi ya malumbano ya kisisasa kila kukicha au ndio kusema mmepoteza ushawishi kwa wananchi na ndio wenye nchi.
Acha watape tape na wasaliti wameshindwa kuiokoa CCM sijui plain F yao ni ipi wajue tu chadema iko kwa mipango ya Mungu watateketea wote na wachawi wao...Meku Mtei huyu wa Mtei Express ni Wa Babati na Sio Mtei wa Chama (anaishi Arumeru). Umbea huu ulokuja nao ni wa kitoto sana.
Plus hapo ulipoona picha ya Bus ni maeneo ya shughuli za Bus hili likienda na kazi za kupeleka raia mikoani.