Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 2,598
- 3,093
nakifahamu sana, ila akifa mzee wao yeye pia atakuwa kweny misukosukoUnafahamu cheo cha mtoto wake wa kiume jeshini ??
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
nakifahamu sana, ila akifa mzee wao yeye pia atakuwa kweny misukosukoUnafahamu cheo cha mtoto wake wa kiume jeshini ??
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Kuwa na pua ndefu ndiyo kuwa "pisi" kali?
Yah hiyo ni lazma ..nakifahamu sana, ila akifa mzee wao yeye pia atakuwa kweny misukosuko
Museveni sio Mganda,kwa maana ya kabila,maana Kuna kabila linaitwa Baganda,Museveni ni Mnyankole,ni jamii ya wafugaji kama maasai,huku kwetu tunawaita wanyambo wa Karagwe,Picha:Mabinti wa museven ni pisi kali balaa hawa kiasili ni waganda kweli?
Mmeona pisi kali za mzee baba?Hawa ni waganda kweli kiasili?maana wanafanana na watu wa Rwanda kwa asilimia 100%
Ila ni pisi kali balaaView attachment 1840741View attachment 1840743View attachment 1840742View attachment 1840745View attachment 1840744View attachment 1840746View attachment 1840748View attachment 1840747View attachment 1840749View attachment 1840750View attachment 1840751View attachment 1840752
Anawafananisha na wale Wa karatu ninj.We utakua mgonjwa wallah
Mke Wa M7 ni mkali kuliko Wa Mr slim.kwa hiyo unataka kusema kagame did it for him au
Mkuu kwani Rwanda ni mbali sana, si uwafuate hapo chap!
Unamuonaje mama yao?
Mwanaye MUHOOZI KAINERUGABA ni mkuu wa majeshi ujueakifa baba yao watakuwa na maisha mabaya,, maana Nchi itaingia kweny mgogoro wa kugombea nafasi ya urais,
Museveni ajaandaa mazingira mazuri ya kupokelezana madaraka, ni Bora angeandaa mtu wake then yeye astaafu mapema kwa amani,
M7 kavaa koti ngapiPicha:Mabinti wa museven ni pisi kali balaa hawa kiasili ni waganda kweli?
Mmeona pisi kali za mzee baba? Hawa ni waganda kweli kiasili maana wanafanana na watu wa Rwanda kwa asilimia 100%
Ila ni pisi kali balaa
View attachment 1840749View attachment 1840750View attachment 1840751View attachment 1840752