mbonji monga
Member
- Mar 23, 2020
- 69
- 138
Wakuu nawasaalimu
Hili ni janga lingine la familia, kitaifa, na dunia kwa ujumla. Limekuwa likitutafuna miongo kadhaa sasa.
Unafanya uwanja wa mazoezi binti wa mtu, ukijua fika hutomuoa.
Akili ipo na pacel(pisi kali) nyingine kwenye utindio wa ubongo
Ee kijana wa kiume badilika. Kachumbie, hatimaye oa.
Tupunguze kufanya mabinti kuwa bunsen burner
Karibuni kwa hoja. Tunawala mno mabinti za watu kiasi kwamba hatuna nia ya kuwaoa. Na mpaka kuoa unakuta kijana wa kiume umekula mabinti miongo isiyopungua 20
Hili ni janga lingine la familia, kitaifa, na dunia kwa ujumla. Limekuwa likitutafuna miongo kadhaa sasa.
Unafanya uwanja wa mazoezi binti wa mtu, ukijua fika hutomuoa.
Akili ipo na pacel(pisi kali) nyingine kwenye utindio wa ubongo
Ee kijana wa kiume badilika. Kachumbie, hatimaye oa.
Tupunguze kufanya mabinti kuwa bunsen burner
Karibuni kwa hoja. Tunawala mno mabinti za watu kiasi kwamba hatuna nia ya kuwaoa. Na mpaka kuoa unakuta kijana wa kiume umekula mabinti miongo isiyopungua 20