Umezoea kina mwajuma wanajichubuastill wabovu sjaona pisi kali hpo
najua mleta mada anataka aseme kuwa ni pisi kali kama wanyarwanda but kwa sie ambao tushawahi kukaa kigali hao watoto ni wa kawaida sanaUmezoea kina mwajuma wanajichubua
“Walahi”We utakua mgonjwa wallah
Unafahamu cheo cha mtoto wake wa kiume jeshini ??akifa baba yao watakuwa na maisha mabaya,, maana Nchi itaingia kweny mgogoro wa kugombea nafasi ya urais,
Museveni ajaandaa mazingira mazuri ya kupokelezana madaraka, ni Bora angeandaa mtu wake then yeye astaafu mapema kwa amani,
acha izo mkuu hao madem ni wakali nani product Kama za Rwanda mtoa mada angeleta picha bila maelezo ndo ungeelewanajua mleta mada anataka aseme kuwa ni pisi kali kama wanyarwanda but kwa sie ambao tushawahi kukaa kigali hao watoto ni wa kawaida sana
Yaani baada ya kuvua Gwanda, ndiyo umeamua kukimbilia kwenye hii biashara haram ya kusifia wake za watu siyo?