Museveni asema Waganda ni wazembe wa kutupwa

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,650
48,415
Asema anaongoza watu wazembe sana, wana mvua ya kutosha hivyo hauhitaji kujituma Uganda ili upate msosi, wengi wapo wapo tu siku ziende......
Japo binafsi nimefanya kazi na Waganda, huwa wanajituma ila kuna kaukweli kuhusu hilo la mvua, mataifa ya Kiafrika yasiyokua na majanga ya ukame yanaishi watu wazembe sana waliobweteka.
================================

Ugandan President Yoweri Museveni has told the South African business community that the citizens he has led for nearly three decades are lazy. He was speaking while pitching trade opportunities in Uganda.

Museveni, who was in a meeting with South African President Cyril Ramaphosa in Pretoria, said a friendly environment in Uganda makes it unnecessary for one to work hard.

"... we at the equator ... we have two rainy seasons — that is why these Ugandans are lazy... because life is very easy for them. You don't have to work very hard. Even a fool can survive in Uganda," Mr Museveni, who has been in power since 1986, told a powerful business and ministerial team.

The meeting was aired on SABC TV, a South African public broadcaster.

President Museveni's comments were followed by verbal expressions of wonder by his hosts, including President Ramaphosa.

 
Back
Top Bottom