Picha: Lowassa Kanisani Leo

wewe acha mm siku nilipoongea nae kwenye sim kwa mara ya kwanza ilikuwa 2013 yaani nilifurahi sana anaongea vizuri. Kesho nakamata fursa lazima nimshike mkono. Leo jion ntamtext
ni pm namba ya rais wangu na mimi walau nimsikie kwa cm
 
Tabora alienda kuomba kura Kanisani na si kusali !

Aisee kumbe sikuhizi ht wanadamu wanaweza kujua YALIYO moyoni mwa mtu?

Biblia imesema Mungu pekeyake ndo anajua moyo wa mtu unawaza nn?
Umekuwa Mungu nn
 
Hiyo pouwa sana. tatzo si kwenda kanisani wala msikitini, sema watu wakikuamin watakuchagua viva LOWASSA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…