Ama kweli desparate times calls for desparate measures! Jamaa amechanganyikiwa hadi anaomba kura kwa watoto wadogo..huyu akiendelea hivi huwezi kushangaa anaomba hadi wanyama wampigie kura ya ndiyo
wewe acha mm siku nilipoongea nae kwenye sim kwa mara ya kwanza ilikuwa 2013 yaani nilifurahi sana anaongea vizuri. Kesho nakamata fursa lazima nimshike mkono. Leo jion ntamtext
Hatuhitaji mpiga ngumi au BAUNSA ikulu,tunaihitaji mtu mwenye hofu ya Mungu,mimi mwislamu niko hapo Chato nampa mtu mwenye hofu ya Mungu si baunsa au mtu asiye na hofu ya Mungu.