Pushup ni fitness.kwenda na kuwapigisha watoto wetu picha na wewe wakati una agenda zako za kisiasa ni kuwazalilisha na kuwatumia vibaya-exploitation of children
Bora huyu anaenda kweupe kwenye nyumba za ibada kuliko Makomeo karithi ugagula wa mkwere na nasikia pesa za Libya zinaleta magagula tu wa kimataifa chini ya uratibu wa Maembe wa NafNaf beach hotels!!!
Chief Kama Magamba wangepewa Mamlaka Ya Kuamuru Kifo Basi Lowassa wangemuovadozi!...Inawakera Sana Kuona Raisi Wetu Kuwa Karibu Na wananchi wake, huku wananchi nao wakionesha Imani Ya Dhati Juu Yake!