Kila eneo ni kuvunja record kwa staili yake. Ni raha ilioje, asubuhi, mchana hadi usiku wapo UKAWA. Pole zao wanaoshinda na vinyonga, asubuhi gamba usiku gwanda.
Achana na Lowassa huyu ni habari ingine hafananishwi.
Kila eneo ni kuvunja record kwa staili yake. Ni raha ilioje, asubuhi, mchana hadi usiku wapo UKAWA. Pole zao wanaoshinda na vinyonga, asubuhi gamba usiku gwanda.
Hata kama ni nyota, ccm imewakosea nini , kwanini mnaichukia kiasi hiki, km barabara mmejengewa, au mpaka flyover? Basi tutajenga hapo ubungo na tazara , na dawa zitakuwa zinapatikana hsp, hata madawati tutaweka kwenye shule za vijijini, hapo vp!
Jaman lowassa mbona kawa kijana ghafla Leo monduli? Kaongea vizuri hadi raha
Yaani nashindwa kuelewa lowasa ana nini, au kuna vimafuta anajipaka nakufanya avutie watu kiasi hiki? Mbona hatumii nguvu kuubwa kuhutubia, wala hapigi pushaup, kama wakwetu, dah, yaani naumia sana kila nikifungua picha za huyu mtu, nimechanganyikiwa kabisa, huko kijijini nako anajaza km jangwani, haiwezekani, kuna namna inafanyika, wanaunganisha picha tu. Inakuwaje watu wanajaa bila kusombwa na malory? Huu ni uonevu kabisa, tuweke usawa kidogo.
haha haha haha haha "wame-edit hizi za dr slaa mwaka 2010" teh teh teh teh
mchawi mpe mtoto/mwanao amlee ni makosa kusema Ccm wataiba kura enyi wadanganyika mtaibiwa kisha mkae kimya eti mlalamike mmeibiwa? shenzi ..........kama unauhakika mtaibiwa kura hapo tz mtakua wakimbizi sasa unaibiwa mnachekelea....mungu wangu wewe
Lowassa mjinga sana anakomaa na kaskazini anadhani wote malofa siyo.atashangaa kitakachompata.
Hata kama ni nyota, ccm imewakosea nini , kwanini mnaichukia kiasi hiki, km barabara mmejengewa, au mpaka flyover? Basi tutajenga hapo ubungo na tazara , na dawa zitakuwa zinapatikana hsp, hata madawati tutaweka kwenye shule za vijijini, hapo vp!
Babati ni wilaya katika mkoa gani Tanzania?
Mbeya, Njombe, Iringa, DSM, Lindi, Mtwara ni kaskazini?
kilaaniwe CCM (chama cha matapel)Inauma sana na inasikitisha pale chama kinapoamini katika hongo,rushwa na ufsadi, kitendo cha kuonga wabunge ili waipitishe katba ilikuwa ni raana kwa taifa, kitendo cha kuonga viongozi wa upinzani ili waachane na siasa ni raana pia, kitendo cha kutumia vyombo vya aerikali kama TBC, magazeti, watumishi wa serikali katika kampeini za ccm no raana pia, katka raana zote hizo chama hakiwezi kunusulika,