Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
kwa nini iwe afajiri hivo!Msikose kuhudhuria sherehe za kuapishwa raisi mpya mheshimiwa lowassa tar 29 alhamis saa 9 asubuhi
kwa nini iwe afajiri hivo!Msikose kuhudhuria sherehe za kuapishwa raisi mpya mheshimiwa lowassa tar 29 alhamis saa 9 asubuhi
yaani inaonekana kuwa wewe ndo mjinga na kama hiyo haitoshi, hujui kuwa u-mjinga; angalia watu wasije kukuona kuwa u-mpu.mbavu!Lowassa mjinga sana anakomaa na kaskazini anadhani wote malofa siyo.atashangaa kitakachompata.
Mungu akubariki, watu wamenyweshwa maji ya Kijani wameoza. Wanahitaji kuombewa hakika.
January na nape wana majibu zaidiHiv haya mafuriko vp alishinda kweli