dah yani EL asipochukua nchi,hyo cku nitauzunika sana na kutoa machozi vibaya mno...
Ila naamin kura yangu ndio ya ushindi kwa Lowasa,nitapiga na kulinda kura hyo mpaka matokeo yatakapo bandikwa
Mkuu wala usiwe na pressure, anashinda na ni mapema asubuhi tu, mda huu kama unachakula chako au kinywaji chako endelea nacho kwa raha zako... ni ushindi tu...