Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,229
- 98,190
dah yani EL asipochukua nchi,hyo cku nitauzunika sana na kutoa machozi vibaya mno...
Ila naamin kura yangu ndio ya ushindi kwa Lowasa,nitapiga na kulinda kura hyo mpaka matokeo yatakapo bandikwa
Tupo pamoja mkuu