Picha: Lowassa afanya kufuru Babati Mjini

Picha: Lowassa afanya kufuru Babati Mjini

dah yani EL asipochukua nchi,hyo cku nitauzunika sana na kutoa machozi vibaya mno...
Ila naamin kura yangu ndio ya ushindi kwa Lowasa,nitapiga na kulinda kura hyo mpaka matokeo yatakapo bandikwa

Tupo pamoja mkuu
 
Kuna tangazo la magufuri limewekwa startv nimelipenda sana, raisi bora atatoka ccm, naye ni lowasa katoka ccm tupo naye kambini!
 
attachment.php
 
Lowassa mjinga sana anakomaa na kaskazini anadhani wote malofa siyo.atashangaa kitakachompata.
Mtwara ni kaskazini??? mbeya je? iringa??
baada ya uchaguzi hatutaki malalamiko ooh tumeibiwa kura.
Hakuna malalamiko, maana kuiba hamuwezi, na lowasa anaingia ikulu.

NB: Mpaka uzi huu umefikia hapa nimeona gamba hili moja tu ndio limefika hapa?? swali ni je, magamba mengine yako wapi?????? au wanaogopa mafuriko yatawasomba!!!????? eti we mtoto wenzako wako wapi??
 
Lowassa mjinga sana anakomaa na kaskazini anadhani wote malofa siyo.atashangaa kitakachompata.

Kwi kwi kwi! yaani nyie mafisiem mko kama popo, jana mnasema mbona anang'ang'ania Dar leo mnakuja tena na kusema mbona anakomaa na kaskazini? Hatuna namna ya kuwasaidia

Cc nifah
 
Last edited by a moderator:
Bado wiki 3 lowasa aapishwe jamani. Ebu nishonde dila matata siku iyo nakatika mbaya
 
Back
Top Bottom