Picha linaanza siku ya uchaguzi internet na vyombo vya habari vinaminywa na wapinzani wanaenguliwa hapo hujue hakukuwa na uchaguzi

Picha linaanza siku ya uchaguzi internet na vyombo vya habari vinaminywa na wapinzani wanaenguliwa hapo hujue hakukuwa na uchaguzi

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Picha linaanza siku ya uchaguzi internet na vyombo vya habari vinaminywa na wapinzani wanaenguliwa hapo hujue hakukuwa na uchaguzi.
 
Hv kushinda kwa 97% na kushinda kwa 51% Kuna utofauti gani?

N bc tuu ccm wote hawana akili, ila kama wangekuwa na akili kdg kama mchele bc wangeacha mambo yaende kama kawaida then wajipe 51% ili uchaguzi uonekane ulikuwa moto.
 
Hv kushinda kwa 97% na kushinda kwa 51% Kuna utofauti gani?

N bc tuu ccm wote hawana akili, ila kama wangekuwa na akili kdg kama mchele bc wangeacha mambo yaende kama kawaida then wajipe 51% ili uchaguzi uonekane ulikuwa moto.
wewe kama nan unapanga
 
Hv kushinda kwa 97% na kushinda kwa 51% Kuna utofauti gani?

N bc tuu ccm wote hawana akili, ila kama wangekuwa na akili kdg kama mchele bc wangeacha mambo yaende kama kawaida then wajipe 51% ili uchaguzi uonekane ulikuwa moto.
Lucas kabla ya uchaguzi alisema mama atashinda kwa kishindo hicho cha A+++++..Nadhani ndo muaandaaji ya matokeo ya uchaguzi,alikuwa na uhakika nayo licha ya uchaguzi kuharibika sehem mbalimbali tena mapema sana!.
 
Lucas kabla ya uchaguzi alisema mama atashinda kwa kishindo hicho cha A+++++..Nadhani ndo muaandaaji ya matokeo ya uchaguzi,alikuwa na uhakika nayo licha ya uchaguzi kuharibika sehem mbalimbali tena mapema sana!.
N mwalimu huyo alikuwa anaweka tick kwenye karatasi zote hvy lazima awe na uhakika huo
 
Back
Top Bottom