mtunzasiri
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 1,446
- 985
Na hii nayo he vipi kosa moja maamuzi tofauti
Mzahamzaha mara tumefika hapa....unbelievable kabisa
Nakumbuka wewe ulikuwa wa kwanza kubashili kuwa huku ndiko tunakoelekea, na watu hawakukusikiliza walifikiri ni utani!!
Mange achukue uraia hukohuko tuMange wanamsubili TUNDUMA?
Adabu ipi wakati viongozi wenyewe wamekosa adabu when you don't observe the rule of law maanake huna adabu period anachokitafuta atakipataLazima muwe na adabu tu ... hakuna namna tena ...
Na watu wakiambiwa katiba wataelewaSometimes nafikiria labda huyu mtu ni blessings in disguise
labda atafanya watu wachoke na kuchukia kupita kiasi
ikija uchaguzi...hata kampeni isiwe na umuhimu....ni kuwatoa tu kwa wingi..
Mange achukue uraia hukohuko tu
kwani adabu Tsh ngapi mkuu???Lazima muwe na adabu tu ... hakuna namna tena ...
Hahaaa watamkamata #Mark_zukerbergSasa Tanzagiza watamkamata mwenye page au mmiliki wa Facebook ili amtaje mwenye page?
Sasa Tanzagiza watamkamata mwenye page au mmiliki wa Facebook ili amtaje mwenye page?
Huyo Kipanya ana uso mrefu kama papai lakini hajichoriHuyu kipanya ni mjinga tuu hata akishikwa siwezi sikitika maana huvuka mipaka sana
I also think so manake anamaudhi mpaka unajiuliza kulikuwa kweli na vetting mpaka tukaishia kuwa a na kiongozi kama huyu populistSometimes nafikiria labda huyu mtu ni blessings in disguise
labda atafanya watu wachoke na kuchukia kupita kiasi
ikija uchaguzi...hata kampeni isiwe na umuhimu....ni kuwatoa tu kwa wingi..
I also think so manake anamaudhi mpaka unajiuliza kulikuwa kweli na vetting mpaka tukaishia kuwa a na kiongozi kama huyu populist
Imezungumzwa sana hilo naanza kuamini haiwezekeni ukakuta nchi iko mstari Fulani wananchi wakiwa wenye furaha pamoja na umaskini wao wewe ukaanza kubomoa misingi ya umoja amani na kiuchumi sijawahi kuona nasikitika sana moyoni mwanguNa kama kweli aliwahi kuugua huko nyuma..ni kosa kubwa walifanya
Ujinga gani mkuu?! Au kwa sababu anachora katuni ambazo haziwafurahishi mabosi wako apo LumumbaHuyu kipanya ni mjinga tuu hata akishikwa siwezi sikitika maana huvuka mipaka sana
Mwenyekiti wako pia anavuka mipaka, Je una chuki naye pia?Huyu kipanya ni mjinga tuu hata akishikwa siwezi sikitika maana huvuka mipaka sana