Kuna nini kinaendelea kuhusu ADANI na TICTS, TPA wamemtambulisha CEO wa ADANI GROUP

Abdul Nondo

JF-Expert Member
Oct 28, 2016
515
2,875
Picha hapo chini ni majina ya wafanyakazi na mashine walizopangiwa katika Gati No.8 - 11 Bandarini. Hiyo chini ni taarifa ya jana tar.6/Julai /2023.Ukisoma hapo bado taarifa zote zinaandikwa TICTS ,mifumo yote kuanzia RDS hadi SSG ya kuongozea inasoma TICTS alafu tunaambiwa TICTS iliondoka tangu Dec 2022.

Wakati huo huo wafanyakazi waliokuwa wanafanya kazi chini ya TICTS waliitwa na TPA @tpa_tz kutambulishwa Kwa CEO wa kampuni ya ADANI GROUP ,kwamba wafanyakazi wote waliokuwa chini ya TICTS wamerithiwa rasmi na ADANI GROUP (Wahindi) .

Lakini jambo la kushangaza hadi sasa wafanyakazi hawa hawajapewa mkataba wowote wa kufanya kazi ingawa wanaambiwa wapo chini ya ADANI GROUP
,vitambulisho vyao bado vinaandika TICTS ikiwa wanaambiwa wapo chini ya ADANI GROUP , Mifumo katika mashine zote inasoma TICTS kuanzia mifumo ya Mashine za YARD za kuongozea huitwa RDS hadi mifumo ya Mashine za Baharini huitwa SSG bado inasoma TICTS.

Wafanyakazi hawa baada ya TICTS kuondoka , wengi walitaka wachukue mafao yao NSSF @nssftz lakini @tpa_tz chini ya Mkurugenzi Mbossa imegoma kuruhusu wafanyakazi hawa kuchukua mafao yao ,wakiambiwa wamerithiwa na ADANI GROUP.

Maswali ya msingi .

1.Huyo ADANI GROUP alipatikana vipi kupewa hiyo kazi ya Operation katika Gati No.8 hadi No.11 ikiwa hakuna tenda iliyotangazwa (Competitive Bidding) ? .Nani alimleta ADANI GROUP na kwa utaratibu Gani ? .

2. Kwanini mitambo na mifumo yote RDS hadi SSG bado inaandikwa TICTS ikiwa serikali kupitia Waziri Mkuu Mh. @kassim_m_majaliwa na Mh. @prof.mbarawa_m mlisema TICTS hayupo tangu Des.2022 , kitu gani kinaendelea ambacho ni siri ? .

3.Kwanini vijana na wafanyakazi wote waliokuwa wanafanya kazi chini ya TICTS, hadi sasa wanafanya kazi bila kupewa mkataba wowote , ikiwa TPA @tpa_tz imewaambia kwamba sasa hivi wapo chini ya ADANI GROUP na wamerithiwa na ADANI GROUP. Huyu ADANI GROUP kwanini hajatoa Mkataba ?.

4. Kwanini tunafichwa fichwa yanayoondelea sasa hivi, hapo Bandarini kuhusu huyu ADANI GROUP na TICTS katika Gati No. 8 hadi 11, Serikali inaficha nini ambacho sisi Wananchi hatupaswi kukijua ?.

Abdul Nondo.
1569049537.jpg
 
Sioni jambo zito sana uliloandika hapa, kwasababu nikitazama yote kwa ujumla wake, naona hao Adani Group na waliokuwa wafanyakazi wa TICTS ambao unawalalamika hawana mikataba, wote wanajua siku zao zinahesabika tangu October 2022 mwarabu alipopewa bandari zetu zote Tanganyika bure milele.

Unaulizia wafanyakazi kufanya kazi bila mikataba, kwanini uwape mikataba wafanyakazi usiojua kama mwarabu ataendelea kuwatumia? Hao jamaa unasema wamepewa gati 8-11, inamaana watakuwa chini ya mwarabu atakapofika, kwasababu mwarabu kulingana na mkataba amepewa kuendesha bandari zote Tanganyika.

Hata hilo suala lingine la mitambo kuendelea kusoma TICTS ni suala dogo tu ambalo kulirekebisha hata halizidi siku mbili au tatu, jambo ambalo mwarabu mliyempa bandari aiendeshe milele atalifamya akifika.

Mimi binafsi ningeona umeandika jambo la msingi, kama ungehoji kwanini mwarabu amepewa bandari zote Tanganyika aziendeshe? Hii ndio dharau kubwa kwetu zaidi ya hiki ulichokuja kuhoji hapa.
 
Picha hapo chini ni majina ya wafanyakazi na mashine walizopangiwa katika Gati No.8 - 11 Bandarini. Hiyo chini ni taarifa ya jana tar.6/Julai /2023.Ukisoma hapo bado taarifa zote zinaandikwa TICTS ,mifumo yote kuanzia RDS hadi SSG ya kuongozea inasoma TICTS alafu tunaambiwa TICTS iliondoka tangu Dec 2022.

Wakati huo huo wafanyakazi waliokuwa wanafanya kazi chini ya TICTS waliitwa na TPA @tpa_tz kutambulishwa Kwa CEO wa kampuni ya ADANI GROUP ,kwamba wafanyakazi wote waliokuwa chini ya TICTS wamerithiwa rasmi na ADANI GROUP (Wahindi) .

Lakini jambo la kushangaza hadi sasa wafanyakazi hawa hawajapewa mkataba wowote wa kufanya kazi ingawa wanaambiwa wapo chini ya ADANI GROUP
,vitambulisho vyao bado vinaandika TICTS ikiwa wanaambiwa wapo chini ya ADANI GROUP , Mifumo katika mashine zote inasoma TICTS kuanzia mifumo ya Mashine za YARD za kuongozea huitwa RDS hadi mifumo ya Mashine za Baharini huitwa SSG bado inasoma TICTS.

Wafanyakazi hawa baada ya TICTS kuondoka , wengi walitaka wachukue mafao yao NSSF @nssftz lakini @tpa_tz chini ya Mkurugenzi Mbossa imegoma kuruhusu wafanyakazi hawa kuchukua mafao yao ,wakiambiwa wamerithiwa na ADANI GROUP.

Maswali ya msingi .

1.Huyo ADANI GROUP alipatikana vipi kupewa hiyo kazi ya Operation katika Gati No.8 hadi No.11 ikiwa hakuna tenda iliyotangazwa (Competitive Bidding) ? .Nani alimleta ADANI GROUP na kwa utaratibu Gani ? .

2. Kwanini mitambo na mifumo yote RDS hadi SSG bado inaandikwa TICTS ikiwa serikali kupitia Waziri Mkuu Mh. @kassim_m_majaliwa na Mh. @prof.mbarawa_m mlisema TICTS hayupo tangu Des.2022 , kitu gani kinaendelea ambacho ni siri ? .

3.Kwanini vijana na wafanyakazi wote waliokuwa wanafanya kazi chini ya TICTS, hadi sasa wanafanya kazi bila kupewa mkataba wowote , ikiwa TPA @tpa_tz imewaambia kwamba sasa hivi wapo chini ya ADANI GROUP na wamerithiwa na ADANI GROUP. Huyu ADANI GROUP kwanini hajatoa Mkataba ?.

4. Kwanini tunafichwa fichwa yanayoondelea sasa hivi, hapo Bandarini kuhusu huyu ADANI GROUP na TICTS katika Gati No. 8 hadi 11, Serikali inaficha nini ambacho sisi Wananchi hatupaswi kukijua ?.

Abdul Nondo.View attachment 2680717
Unataka ujue nini zaidi wewe ni mtendaji wa bandari, ila ukweli watanzania ni wajinga tunauliza na vitu ambavyo havituhusu kabisa, wewe wataka upewe utaratibu wa transition kama nani?
 
Unataka ujue nini zaidi wewe ni mtendaji wa bandari, ila ukweli watanzania ni wajinga tunauliza na vitu ambavyo havituhusu kabisa, wewe wataka upewe utaratibu wa transition kama nani?
Mkuu akili yako iko na akili kweli? Maana Kijiji tu chenyewe kinasoma na kufafanua vizuri vyanzo vya mapato na matumizi yake na wananchi wanahoji
 
Kwanini waende kuendesha bandari zetu milele kwani vizazi vyetu vijavyo havitakuwa na uwezo wa kuendesha hizo bandari?
Hakuna mkataba usio kua na exit route lazima hao waarabu wataondolewa kama wanaenda kinyume na matarajio ya nchi au na watanzania, matarajio ya serikali ni ufanisi na kuongeza mapato na maendeleo ya bandari, wasipo fanya hivo lazima wao doke tu
 
Hakuna mkataba usio kua na exit route lazima hao waarabu wataondolewa kama wanaenda kinyume na matarajio ya nchi au na watanzania, matarajio ya serikali ni ufanisi na kuongeza mapato na maendeleo ya bandari, wasipo fanya hivo lazima wao doke tu
Watanzania wapi walioridhia kuwapa kazi hao waarabu mpaka wawe na matarajio kwenye utendaji wao? Hiyo nafasi walipewa lini ya kutoa maoni yao?
 
Picha hapo chini ni majina ya wafanyakazi na mashine walizopangiwa katika Gati No.8 - 11 Bandarini. Hiyo chini ni taarifa ya jana tar.6/Julai /2023.Ukisoma hapo bado taarifa zote zinaandikwa TICTS ,mifumo yote kuanzia RDS hadi SSG ya kuongozea inasoma TICTS alafu tunaambiwa TICTS iliondoka tangu Dec 2022.

Wakati huo huo wafanyakazi waliokuwa wanafanya kazi chini ya TICTS waliitwa na TPA @tpa_tz kutambulishwa Kwa CEO wa kampuni ya ADANI GROUP ,kwamba wafanyakazi wote waliokuwa chini ya TICTS wamerithiwa rasmi na ADANI GROUP (Wahindi) .

Lakini jambo la kushangaza hadi sasa wafanyakazi hawa hawajapewa mkataba wowote wa kufanya kazi ingawa wanaambiwa wapo chini ya ADANI GROUP
,vitambulisho vyao bado vinaandika TICTS ikiwa wanaambiwa wapo chini ya ADANI GROUP , Mifumo katika mashine zote inasoma TICTS kuanzia mifumo ya Mashine za YARD za kuongozea huitwa RDS hadi mifumo ya Mashine za Baharini huitwa SSG bado inasoma TICTS.

Wafanyakazi hawa baada ya TICTS kuondoka , wengi walitaka wachukue mafao yao NSSF @nssftz lakini @tpa_tz chini ya Mkurugenzi Mbossa imegoma kuruhusu wafanyakazi hawa kuchukua mafao yao ,wakiambiwa wamerithiwa na ADANI GROUP.

Maswali ya msingi .

1.Huyo ADANI GROUP alipatikana vipi kupewa hiyo kazi ya Operation katika Gati No.8 hadi No.11 ikiwa hakuna tenda iliyotangazwa (Competitive Bidding) ? .Nani alimleta ADANI GROUP na kwa utaratibu Gani ? .

2. Kwanini mitambo na mifumo yote RDS hadi SSG bado inaandikwa TICTS ikiwa serikali kupitia Waziri Mkuu Mh. @kassim_m_majaliwa na Mh. @prof.mbarawa_m mlisema TICTS hayupo tangu Des.2022 , kitu gani kinaendelea ambacho ni siri ? .

3.Kwanini vijana na wafanyakazi wote waliokuwa wanafanya kazi chini ya TICTS, hadi sasa wanafanya kazi bila kupewa mkataba wowote , ikiwa TPA @tpa_tz imewaambia kwamba sasa hivi wapo chini ya ADANI GROUP na wamerithiwa na ADANI GROUP. Huyu ADANI GROUP kwanini hajatoa Mkataba ?.

4. Kwanini tunafichwa fichwa yanayoondelea sasa hivi, hapo Bandarini kuhusu huyu ADANI GROUP na TICTS katika Gati No. 8 hadi 11, Serikali inaficha nini ambacho sisi Wananchi hatupaswi kukijua ?.

Abdul Nondo.View attachment 2680717
Kumbe bandari yetu ipo salama sio kama vile wale washenzi waliotuaminisha imeuzwa.
HATA DPW ITAKAPOANZA KAZI RASMI NI WATANZANIA HAWA HAWA WA AWALI WALIOPO NDIO WATAKAOENDELEA.
 
Kuhusu nyaraka kusoma TICTS inaweza kuwa ina maelezo kiufundi na isiwe big deal. Hiyo mifumo huwezi kuiondoa ghafla kuna a lot of implications.

Issue ya hiyo kampuni mpya ndio kubwa maana toka aondoke TICTS tunasikia habari za DP sasa hiyo kampuni mpya imepatikana vipi ni issue.

Kingine wafanyakazi walipaswa kupewa nafasi kuamua hatma zao baada ya TICTS na wale watakaokubali kuendelea na kampuni mpya wapewe mikataba! Hapa kuna ukiukwaji wa sheria za kazi.

Kiukweli inaonekana kuna sarakasi kubwa sana hapo bandarini zitakuja kuleta kashfa za kihistoria na watu kuishia jela huko mbele. Mara nyingi watendaji ndio watakaoumia huku wakubwa wakila pension zao na kusemwasemwa tu. Mambo mengine ni madogo lakini handling yake ni very poor na kuzidi kuchochea mashaka.
 
Na mjibu kama raia mwenzie awe na ukomo wa kuhoji, ili asiingilie haki za wengine
So wewe hujaingilia haki yake ya kuhoji,Kwa sababu yeye anahoji Watu wa Bandari wewe sio Msemaji wa bandari.Huoni kama wewe kama RAIA MWENZIE ndio unaingilia haki yake badala ya kutumia haki yako vizuri bila kuwaingilia wengine?

Naelewa unaweza kuwa na sababu zako lakini basi Jaribu kuonesha ukomavu na uelewa hata unapotetea masuala ya serikali kwa sababu kuna aina ya majibu na hoja unaweza leta badala ya kujenga ukawa una bomoa zaidi.

Yeyey ameuliza swali rahisi ambalo kuna watu litawaathiri kama hao wafanyakazi ambao hawaelewi hatma yao au ule utata kuhusu TICTS,ADANI na DP WORLD.Ukitazama vizuri unaona kabisa ni suala ambalo linahitaji majibu na sio propaganda.

Anyway kama umenielewa chukua hatua,kama hujaelewa basi endelea...
 
Tuendelee kuchapa usingizi bado hakujakucha na nje giza nitotoro namajogoo yanayojitahidi kutuamsha huwenda yakapungua maana vimbulu wameanza kupita mtaani
 
Watanzania wapi walioridhia kuwapa kazi hao waarabu mpaka wawe na matarajio kwenye utendaji wao? Hiyo nafasi walipewa lini ya kutoa maoni yao?
Bunge ni muakilishi wa raia wote kama limeridhia maanake raia wote wameridhia
 
Kuhusu nyaraka kusoma TICTS inaweza kuwa ina maelezo kiufundi na isiwe big deal. Hiyo mifumo huwezi kuiondoa ghafla kuna a lot of implications.

Issue ya hiyo kampuni mpya ndio kubwa maana toka aondoke TICTS tunasikia habari za DP sasa hiyo kampuni mpya imepatikana vipi ni issue.

Kingine wafanyakazi walipaswa kupewa nafasi kuamua hatma zao baada ya TICTS na wale watakaokubali kuendelea na kampuni mpya wapewe mikataba! Hapa kuna ukiukwaji wa sheria za kazi.

Kiukweli inaonekana kuna sarakasi kubwa sana hapo bandarini zitakuja kuleta kashfa za kihistoria na watu kuishia jela huko mbele. Mambo mengine ni madogo lakini handling yake ni very poor na kuzidi kuchochea mashaka.
Hiyo kampuni mpya inawezekana ilipewa iendeshe mambo bandarini kwa muda mfupi wakati wakisubiriwa waarabu wa DPW wafike.
 
Back
Top Bottom