ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,010
umeongea la muhimu sana,sasa hivi watu wanasononeka sana kwa kweli,isemwe tu,kuna huzuni kubwa sasa hivi hata kama mtu unamdai 5,000 kukulipa ni mbindeImezungumzwa sana hilo naanza kuamini haiwezekeni ukakuta nchi iko mstari Fulani wananchi wakiwa wenye furaha pamoja na umaskini wao wewe ukaanza kubomoa misingi ya umoja amani na kiuchumi sijawahi kuona nasikitika sana moyoni mwangu