Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Kuna nchi zina utamaduni wa ajabu na wa kipumbavu sana. Mojawapo ni Indonesia.
Kila mwaka wanafukua makaburi na kusheherekea na wafu wao waliokufa na kuzikwa miaka mingi iliyopita.
Jamaa wanapiga nao picha et! Wanawavalisha mpaka nguo na kuwavutisha sigara.
Mpaka watoto wadogo wanaenjoy et.
Shenzi sana hawa jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mwaka wanafukua makaburi na kusheherekea na wafu wao waliokufa na kuzikwa miaka mingi iliyopita.
Jamaa wanapiga nao picha et! Wanawavalisha mpaka nguo na kuwavutisha sigara.
Mpaka watoto wadogo wanaenjoy et.
Shenzi sana hawa jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app