The Pen
JF-Expert Member
- Dec 31, 2010
- 755
- 256
Naomba ramani ya nyumba hii mkuu
Unaishushia hadhi "kasri" ya mchunga kondoo kwa kuiita nyumba.
Naomba ramani ya nyumba hii mkuu
Ni kweli kabisa mkuu...
Going back to history katika jamii yetu hamna uzoefu wa nguvu ya Mungu aliye hai tumezoea dini tulizo hubiriwa na wakoloni ambazo hazikuonesha ufunuo ambao leo unadhihirishwa na Mungu mwenyewe katika kristo Yesu. Mababu zetu waliabudu miungu mingine maisha yao yote. Hata walipo letewa injili ya dini ilichukua muda kuelewa lakini bado haikuwa full gospel , ilikuwa partial haikuweza kuwafanya watanzania wawe independent. Full gospel ni ile injili ya asili aliyohubiri Yesu Kristo na mitume wake ambayo ina ishara, miujiza, kukemea pepo na nguvu za giza, unabii and may more(reveals the power of God).
Hakuna familia (kama zipo ni chache sana) ambayo wamekua wakiona baba/mama au kaka akikemea pepo/jini na likaondoka au kumponya mgonjwa kwa kuwekelea mikono na akapona. wengi hawajakuwa katika imani hiyo. Hata serikali za vijiji nakumbuka enzi hizo kijijini kwetu alisha wahi kuletwa mganga atoe wachawi mtaa kwa mtaa. Hii inaonesha ni jinsi gani ilivyo rahis sana watu kuamini uchawi/shetani kuliko Mungu aliye hai, ingawa anaona kabisha majini na mapepo (agents of the devil) yanavyo surrender litajwapo jina la Yesu Kristo wa Nazareth.
Ni tatizo la kihistoria na hivyo, watanzania tubadilike na tuwe na shukrani hata kwa hao wakoloni maana; naamini dini walizoleta zimetupa idea kwamba yupo Mungu aliyeumba haya tuyaonayo na yale tusioona, then tuchukue hatua kumtafuta yule Mungu aliye hai, anayeongea na aliye halisi tusiongee sana, maana yupo anatusubiri tumrudie tule mema ya nchi..."mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi". Maana imeandikwa uzima na mauti vi katika ulimi wa mwanadamu. Usihukumu watu/viongozi wa imani Maana imeandikwa judge not, for it is by the same measure you shall also be judged.
Jamani God is real, Jesus is real, Holy Ghost(spirit) is real and heaven is real. The devil i a Liar, Tanzania wake up pray for the nation and stop being lazy.
Kweli kabisa nakubaliana na wewe asilimia 100 umemeliza kila kituNi kweli kabisa mkuu...
Going back to history katika jamii yetu hamna uzoefu wa nguvu ya Mungu aliye hai tumezoea dini tulizo hubiriwa na wakoloni ambazo hazikuonesha ufunuo ambao leo unadhihirishwa na Mungu mwenyewe katika kristo Yesu. Mababu zetu waliabudu miungu mingine maisha yao yote. Hata walipo letewa injili ya dini ilichukua muda kuelewa lakini bado haikuwa full gospel , ilikuwa partial haikuweza kuwafanya watanzania wawe independent. Full gospel ni ile injili ya asili aliyohubiri Yesu Kristo na mitume wake ambayo ina ishara, miujiza, kukemea pepo na nguvu za giza, unabii and may more(reveals the power of God).
Hakuna familia (kama zipo ni chache sana) ambayo wamekua wakiona baba/mama au kaka akikemea pepo/jini na likaondoka au kumponya mgonjwa kwa kuwekelea mikono na akapona. wengi hawajakuwa katika imani hiyo. Hata serikali za vijiji nakumbuka enzi hizo kijijini kwetu alisha wahi kuletwa mganga atoe wachawi mtaa kwa mtaa. Hii inaonesha ni jinsi gani ilivyo rahis sana watu kuamini uchawi/shetani kuliko Mungu aliye hai, ingawa anaona kabisha majini na mapepo (agents of the devil) yanavyo surrender litajwapo jina la Yesu Kristo wa Nazareth.
Ni tatizo la kihistoria na hivyo, watanzania tubadilike na tuwe na shukrani hata kwa hao wakoloni maana; naamini dini walizoleta zimetupa idea kwamba yupo Mungu aliyeumba haya tuyaonayo na yale tusioona, then tuchukue hatua kumtafuta yule Mungu aliye hai, anayeongea na aliye halisi tusiongee sana, maana yupo anatusubiri tumrudie tule mema ya nchi..."mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi". Maana imeandikwa uzima na mauti vi katika ulimi wa mwanadamu. Usihukumu watu/viongozi wa imani Maana imeandikwa judge not, for it is by the same measure you shall also be judged.
Jamani God is real, Jesus is real, Holy Ghost(spirit) is real and heaven is real. The devil i a Liar, Tanzania wake up pray for the nation and stop being lazy.
Tulia okoka umjue Mungu aliye hai ndiyo utaweza kumwelewa alichokisema, vinginevyo utbaki gizaniWewe ndio mvivu wa kufikiri pengine kuliko walokole wote waliomo humu jamvini,..umefikia hatua ya kuwakebehi hata mababu zetu in favour ya wazungu....kama sio mnufaikaji wa utapeli huu wa Mama Lwakatare basi wewe ni zaidi ya mjinga.
Ni kweli kabisa mkuu...
Going back to history katika jamii yetu hamna uzoefu wa nguvu ya Mungu aliye hai tumezoea dini tulizo hubiriwa na wakoloni ambazo hazikuonesha ufunuo ambao leo unadhihirishwa na Mungu mwenyewe katika kristo Yesu. Mababu zetu waliabudu miungu mingine maisha yao yote. Hata walipo letewa injili ya dini ilichukua muda kuelewa lakini bado haikuwa full gospel , ilikuwa partial haikuweza kuwafanya watanzania wawe independent. Full gospel ni ile injili ya asili aliyohubiri Yesu Kristo na mitume wake ambayo ina ishara, miujiza, kukemea pepo na nguvu za giza, unabii and may more(reveals the power of God).
Hakuna familia (kama zipo ni chache sana) ambayo wamekua wakiona baba/mama au kaka akikemea pepo/jini na likaondoka au kumponya mgonjwa kwa kuwekelea mikono na akapona. wengi hawajakuwa katika imani hiyo. Hata serikali za vijiji nakumbuka enzi hizo kijijini kwetu alisha wahi kuletwa mganga atoe wachawi mtaa kwa mtaa. Hii inaonesha ni jinsi gani ilivyo rahis sana watu kuamini uchawi/shetani kuliko Mungu aliye hai, ingawa anaona kabisha majini na mapepo (agents of the devil) yanavyo surrender litajwapo jina la Yesu Kristo wa Nazareth.
Ni tatizo la kihistoria na hivyo, watanzania tubadilike na tuwe na shukrani hata kwa hao wakoloni maana; naamini dini walizoleta zimetupa idea kwamba yupo Mungu aliyeumba haya tuyaonayo na yale tusioona, then tuchukue hatua kumtafuta yule Mungu aliye hai, anayeongea na aliye halisi tusiongee sana, maana yupo anatusubiri tumrudie tule mema ya nchi..."mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi". Maana imeandikwa uzima na mauti vi katika ulimi wa mwanadamu. Usihukumu watu/viongozi wa imani Maana imeandikwa judge not, for it is by the same measure you shall also be judged.
Jamani God is real, Jesus is real, Holy Ghost(spirit) is real and heaven is real. The devil i a Liar, Tanzania wake up pray for the nation and stop being lazy.
Tulia okoka umjue Mungu aliye hai ndiyo utaweza kumwelewa alichokisema, vinginevyo utbaki gizani
Tufanye kazi kwa bidii ndiyo tutafanikiwa..tuachane na mambo ya wivu..unafanya kazi masaa 2 alafu uje ufanikiwe lini..haujiongezi kupata source nyingine ya pesa..ukitoka kazini -bar-nyumbani.alafu mafanikio utapataje..
Jamani biashara ya dini inalipa haswa ulokole watu wanamatatizo lundo lukuki wanahitaji faraja.
...huyu si ndiye ambaye Shule zake (St. Mary`s) zinaiba umeme wa Tanesco!!
Jamani biashara ya dini inalipa haswa ulokole watu wanamatatizo lundo lukuki wanahitaji faraja.
then wanahubiri njia za mafanikio!Mtaji Wa Mafisadi Ni mbinu mbinu, kukwepa kodi, kidhulumu watu, kulipa wafanyakazi kidogo, na kumuhusisha Mungu na Baraka wakishafanikiwa Kwenye ufisadi wao.