PICHA: Je, DC bora ni huyu?

PICHA: Je, DC bora ni huyu?

Huyo ni yule bwabwa wa kijani kutokea Unguja?
Akiendelea kuongoza ataharibu tabia za watoto wenu huko Tanganyika

Taarifa za ubwabwa wake zilitolewa rasmi na wanaCCM wenyewe na kuungwa mkono na baadhi ya viongozi wao.
 
View attachment 3372082

==
Nimekutana na hii taarifa kwenye group songezi la Whatsapp Kwa ruhusa yenu naomba tuijadili Kwa uwazi na haki,

Mimi mleta mada Kwa namna bwana huyu alivyoitukiza Kilosa naona kama nafasi aliyonayo huyu DC Kwa sasa inambana sana atafutiwe nafasi nyingine ya juu saizi yake ili Taifa liweze kunufaika na uwezo wake huu wa kuacha alama isiyofutika.

===
Taarifa yenyewe ni hii:

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka ameongoza viongozi mbali mbali, wadau wa maendeleo, taasisi za kiserikali na zisizo za kiserikali katika maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyoka kimkoa wilayani Kilosa.
View attachment 3372087

Katika maadhimisho hayo DC Shaka alimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe Adam Kighoma Malima ambapo amesisitiza umuhimu wa kuendelea kuwalinda watoto dhidi ya majanga na maswahiba mbalimbali ambayo yanapelekea kuharibu utu wao mbele ya jamii sambamba na kuwakatisha tamaa katika kutimiza ndoto zao za baadae.

"Kauli mbiu ya mwaka huu ni Haki za mtoto , tulipotoka, tulipo tuendako ambayo inaitaka jamii kwa ujumla kufanya tafakuri ya kina juu ya upatikanaji wa haki za watoto tangu zilipoainishwa katika Sera ya Maendeleo ya Mtoto ya mwaka 2008" alisema Shaka

Hata hivyo Dc Shaka ameendelea kutoa msisitizo juu kuwaelimisha na kuwakumbusha wazazi, walezi na watoa huduma wote wajibu wao katika kutekeleza haki tano za msingi za mtoto ambazi ni haki ya kuishi, haki ya kuendelezwa, haki ya kulindwa,hski ya kushiriki na haki ya kutobagliwa.

"Niendelee kuwahakishia kuwa serkali ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan pamoja na kuweka mazingira rafiki na shirikisha itaendelea kuhakikidha haki nilizozianisha na ulinzi wa myoyo unapatokana katika ngazi zote" Alisisitiza Shaka.

Recall:JAMII YATAKIWA KUWALINDA WATOTO DHIDI YA VITENDO VYA UKATILI

===
#NoReformsNoElection
 
Mzamzibari anaruhusiwa kuwa DC Tanganyika! Ila Mtanganyika haruhusiwi kuwa DC Zanzibar!
Kwa kweli tuna Muungano wa kijinga sana. Na kwa hali hii, Rais aina ya Tundu Lissu anahitajika sana ili atuondolea huu ujinga.
Sijawahi kukucheka leo nakucheka sasa tundu lissu ananini?? Yaani mie sipendagi tu mtu akinyanyanyaswa Tundu lissu hayupo robo tatu yake Magufuli . Huyu baba akishika nchi kwaheri tz
 
CCM wamemkatili kumtoa kwenye ndoa yake kule Mombasa alikuwa akiishi vizuri tu na mume wake.
 
View attachment 3372082

==
Nimekutana na hii taarifa kwenye group songezi la Whatsapp Kwa ruhusa yenu naomba tuijadili Kwa uwazi na haki,

Mimi mleta mada Kwa namna bwana huyu alivyoitukiza Kilosa naona kama nafasi aliyonayo huyu DC Kwa sasa inambana sana atafutiwe nafasi nyingine ya juu saizi yake ili Taifa liweze kunufaika na uwezo wake huu wa kuacha alama isiyofutika.

===
Taarifa yenyewe ni hii:

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka ameongoza viongozi mbali mbali, wadau wa maendeleo, taasisi za kiserikali na zisizo za kiserikali katika maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyoka kimkoa wilayani Kilosa.
View attachment 3372087

Katika maadhimisho hayo DC Shaka alimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe Adam Kighoma Malima ambapo amesisitiza umuhimu wa kuendelea kuwalinda watoto dhidi ya majanga na maswahiba mbalimbali ambayo yanapelekea kuharibu utu wao mbele ya jamii sambamba na kuwakatisha tamaa katika kutimiza ndoto zao za baadae.

"Kauli mbiu ya mwaka huu ni Haki za mtoto , tulipotoka, tulipo tuendako ambayo inaitaka jamii kwa ujumla kufanya tafakuri ya kina juu ya upatikanaji wa haki za watoto tangu zilipoainishwa katika Sera ya Maendeleo ya Mtoto ya mwaka 2008" alisema Shaka

Hata hivyo Dc Shaka ameendelea kutoa msisitizo juu kuwaelimisha na kuwakumbusha wazazi, walezi na watoa huduma wote wajibu wao katika kutekeleza haki tano za msingi za mtoto ambazi ni haki ya kuishi, haki ya kuendelezwa, haki ya kulindwa,hski ya kushiriki na haki ya kutobagliwa.

"Niendelee kuwahakishia kuwa serkali ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan pamoja na kuweka mazingira rafiki na shirikisha itaendelea kuhakikidha haki nilizozianisha na ulinzi wa myoyo unapatokana katika ngazi zote" Alisisitiza Shaka.

Recall:JAMII YATAKIWA KUWALINDA WATOTO DHIDI YA VITENDO VYA UKATILI

===
Sasa kipi Cha ajabu alichokifanya hapo ambacho so special kwake Hadi apewe nafasi kubwa zaidi ya hiyo?

Au we kakutuma umpigie kampeni za hovyo kiasi hiki?

Mi nikajua labda akachukua watoto wote wa kilosa anawalipia ada na gharama zote !! KUMBE kumwakilisha Mkuu wa Mkoa tu basi?!!!
 
Arudi kwao Zanzibar, haya mambo ya wazanzibari kupewa vyeo bara ila wabara kubaniwa Zanzibar hayapo fair.
Waambie ukweli Hawa wazenj wao ni wabaguzi sana! Wanapewa KAZI hata wizara zisizo za muungano km tamisemi!
 
Huyu kwanini wamemnyima hata u-RC tu?
Akapewe U RC kwao Zanzibar. Ni kuendelea kuvunja Katiba kuwa na MA DC Wazanzibari hapa Tanganyika. TAMISEMI sio suala la Muungano. Apelekwe kura DC MWANAKWEREKWE au TUMBE
 
Huyu ni kiongozi na nusu. Ni kiongozi mchapakazi sana , mnyenyekevu,mcha Mungu na mwenye maono. Anastahili kupandishwa cheo zaidi ya hicho alicho nacho. Ikiwezekana apewe hata ukatibu Mkuu wa CCM baada ya Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi kuachia nafasi na kuanza majukumu mapya.
Huyu apewe U-RC walau ndio level yake Samia anakwama wapi?
 
Akapewe U RC kwao Zanzibar. Ni kuendelea kuvunja Katiba kuwa na MA DC Wazanzibari hapa Tanganyika. TAMISEMI sio suala la Muungano. Apelekwe kura DC MWANAKWEREKWE au TUMBE
Kama hutaki Muungano hama hii nchi

Ova,
 
Huyu ni kiongozi na nusu. Ni kiongozi mchapakazi sana , mnyenyekevu,mcha Mungu na mwenye maono. Anastahili kupandishwa cheo zaidi ya hicho alicho nacho. Ikiwezekana apewe hata ukatibu Mkuu wa CCM baada ya Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi kuachia nafasi na kuanza majukumu mapya.
Aise,
 
View attachment 3372082

==
Nimekutana na hii taarifa kwenye group songezi la Whatsapp Kwa ruhusa yenu naomba tuijadili Kwa uwazi na haki,

Mimi mleta mada Kwa namna bwana huyu alivyoituliza Kilosa naona kama nafasi aliyonayo huyu DC Kwa sasa inambana sana atafutiwe nafasi nyingine ya juu saizi yake ili Taifa liweze kunufaika na uwezo wake huu wa kuacha alama isiyofutika kila anapopelekwa.
View attachment 3372741
===
Taarifa yenyewe ni hii:

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka ameongoza viongozi mbali mbali, wadau wa maendeleo, taasisi za kiserikali na zisizo za kiserikali katika maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyoka kimkoa wilayani Kilosa.
View attachment 3372087

Katika maadhimisho hayo DC Shaka alimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe Adam Kighoma Malima ambapo amesisitiza umuhimu wa kuendelea kuwalinda watoto dhidi ya majanga na maswahiba mbalimbali ambayo yanapelekea kuharibu utu wao mbele ya jamii sambamba na kuwakatisha tamaa katika kutimiza ndoto zao za baadae.

"Kauli mbiu ya mwaka huu ni Haki za mtoto , tulipotoka, tulipo tuendako ambayo inaitaka jamii kwa ujumla kufanya tafakuri ya kina juu ya upatikanaji wa haki za watoto tangu zilipoainishwa katika Sera ya Maendeleo ya Mtoto ya mwaka 2008" alisema Shaka

Hata hivyo Dc Shaka ameendelea kutoa msisitizo juu kuwaelimisha na kuwakumbusha wazazi, walezi na watoa huduma wote wajibu wao katika kutekeleza haki tano za msingi za mtoto ambazi ni haki ya kuishi, haki ya kuendelezwa, haki ya kulindwa,hski ya kushiriki na haki ya kutobagliwa.

"Niendelee kuwahakishia kuwa serkali ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan pamoja na kuweka mazingira rafiki na shirikisha itaendelea kuhakikidha haki nilizozianisha na ulinzi wa myoyo unapatokana katika ngazi zote" Alisisitiza Shaka.

Recall:JAMII YATAKIWA KUWALINDA WATOTO DHIDI YA VITENDO VYA UKATILI

===
Shaka UDC ni kejeli sana kwake huwezi kutoka Mwenezi wa Taifa kuwa DC hapa Mama hakututendea haki
 
View attachment 3372082

==
Nimekutana na hii taarifa kwenye group songezi la Whatsapp Kwa ruhusa yenu naomba tuijadili Kwa uwazi na haki,

Mimi mleta mada Kwa namna bwana huyu alivyoituliza Kilosa naona kama nafasi aliyonayo huyu DC Kwa sasa inambana sana atafutiwe nafasi nyingine ya juu saizi yake ili Taifa liweze kunufaika na uwezo wake huu wa kuacha alama isiyofutika kila anapopelekwa.
View attachment 3372741
===
Taarifa yenyewe ni hii:

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka ameongoza viongozi mbali mbali, wadau wa maendeleo, taasisi za kiserikali na zisizo za kiserikali katika maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyoka kimkoa wilayani Kilosa.
View attachment 3372087

Katika maadhimisho hayo DC Shaka alimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe Adam Kighoma Malima ambapo amesisitiza umuhimu wa kuendelea kuwalinda watoto dhidi ya majanga na maswahiba mbalimbali ambayo yanapelekea kuharibu utu wao mbele ya jamii sambamba na kuwakatisha tamaa katika kutimiza ndoto zao za baadae.

"Kauli mbiu ya mwaka huu ni Haki za mtoto , tulipotoka, tulipo tuendako ambayo inaitaka jamii kwa ujumla kufanya tafakuri ya kina juu ya upatikanaji wa haki za watoto tangu zilipoainishwa katika Sera ya Maendeleo ya Mtoto ya mwaka 2008" alisema Shaka

Hata hivyo Dc Shaka ameendelea kutoa msisitizo juu kuwaelimisha na kuwakumbusha wazazi, walezi na watoa huduma wote wajibu wao katika kutekeleza haki tano za msingi za mtoto ambazi ni haki ya kuishi, haki ya kuendelezwa, haki ya kulindwa,hski ya kushiriki na haki ya kutobagliwa.

"Niendelee kuwahakishia kuwa serkali ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan pamoja na kuweka mazingira rafiki na shirikisha itaendelea kuhakikidha haki nilizozianisha na ulinzi wa myoyo unapatokana katika ngazi zote" Alisisitiza Shaka.

Recall:JAMII YATAKIWA KUWALINDA WATOTO DHIDI YA VITENDO VYA UKATILI

===
Huyu jamaa alipotelea wapi?
 
Back
Top Bottom