imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,049
Zitto alikwenda kwenye kampeni ya Chama tawala Zanu pf.UDP na mrema hawana tofauti
Zitto alikwenda kwenye kampeni ya Chama tawala Zanu pf.UDP na mrema hawana tofauti
Chadema nao wawaige UDP kuliko kufanya siasa za ukanda na udini waone kama wataguswa.Heh heh heh 😂😂😂Cheo amewakilisha upinzani kuwa CCM inathamini upinzani wala hawawafungi, hawawapigi risasi.
Wonders shall never end
Unaongea kama huyo wa avatar yako mchumia tumboChadema nao wawaige UDP kuliko kufanya siasa za ukanda na udini waone kama wataguswa.
Kweni wewe huwa unachumia wapi?!Unaongea kama huyo wa avatar yako mchumia tumbo
Mwenzetu huyu.Hivi John Cheyo anaenda kama nani ? hii nchi hela zinaliwa kijinga sana .
nani kasema magufuli anaweza kuwachagulia wapinzani mwakilishi , umeitoa kwenye kifungu gani cha katiba ?Kuchagulia kiaje, yeye ni mwenyekiti wa chama gani sijui cha upinzani. Kwenda Zimbambwe kateuliwa na President kuwakilisha rasmi upinzani
Sent using Jamii Forums mobile app
wanasema ni yeye mwenyewe , kuna tetesi hapa jf anamiliki ID 10 , tunaendelea na uchunguzi , Chahali atakuja kuziweka wazi wiki ijayoKweni wewe huwa unachumia wapi?!
Katiba haijazungumza, lakini katiba inampa Rais Uhuru kumchagua mtu yoyote kuwa chochote ili mradi hakuna sheria iliyovunjwa.nani kasema magufuli anaweza kuwachagulia wapinzani mwakilishi , umeitoa kwenye kifungu gani cha katiba ?
acha porojo wewe , semeni labda cheyo kawakilisha wasukuma lakini si wapinzaniKatiba haijazungumza, lakini katiba inampa Rais Uhuru kumchagua mtu yoyote kuwa chochote ili mradi hakuna sheria iliyovunjwa.
Labda nikuulize kama Katiba imekataza Rais kuchagua mpinzani yoyote kuwakilisha upinzani
Sent using Jamii Forums mobile app
Katiba haijamzuia Rais kumteua mtu yoyote, badala ya kuita hizi kuwa ni porojo ni vyema ukajikita kuibadilisha katiba iwe unavyotaka wewe, simple as thatacha porojo wewe , semeni labda cheyo kawakilisha wasukuma lakini si wapinzani
Hakika sura yako kwenye profile na comment zako zinaendana mkuuKwa kweli mimi huwa naikubali sana UDP, wanajua kizipiga siasa bila chuki tofauti na CUF na Chadema ninaimani UDP kitakuja kuwa chama kikuu cha Upinzani.
wanasema ni yeye mwenyewe , kuna tetesi hapa jf anamiliki ID 10 , tunaendelea na uchunguzi , Chahali atakuja kuziweka wazi wiki ijayo
Huwezi fosi tufanane mawazoHakika sura yako kwenye profile na comment zako zinaendana mkuu
Kama vile ambavyo siwezi force tufanane sura zetu mkuu...nakibaliana na wewsHuwezi fosi tufanane mawazo
Jk kwani hua ana sera ya kubana matumizi ? Hiyo ni ya mchatoKwa nn hakuenda na ndege za kawaida kama kweli yeye anabana matumizi ya pesa? Huu uzwazwa sijui utaisha lini hapa kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app