ivi ilo shati amevaa wenzake huwa wanachomekea? alivyochomekea anaonekana kama mshamba wa mavazi....inabidi tumlaumu mama salma, hakumkagua nguo gani avae nzuri..
Hivi wewe haswa, unataka kushindana kuvaa na handsome Kikwete? jitu lililoiona dunia kabla yako? linalozunguka dunia kama kiongozi kabla hujazaliwa? Unanchekesha!
Picha handsome sana hiyo hata mimi nimeona!!Usongo tu uliekuchefuwa na si picha,, picha nzuri na handsome limependeza na nembo yetu pembeni. MashAllah!
jibwana hondsome!!Hivi wewe haswa, unataka kushindana kuvaa na handsome Kikwete? jitu lililoiona dunia kabla yako? linalozunguka dunia kama kiongozi kabla hujazaliwa? Unanchekesha!
kimekuvutia hicho kitu cha mauwamauwaaa...au aliyekivaa kitu hicho?!kitu cha mauwamauwaaa......
umeona eeeh!!naona na huyu ni mmoja wao!!!Hii nchi ina wahuni wengi sana
silence please!!we are now in a different zone!jibwana hondsome!!
Hawezi kushindana kuvaa na jitu lililoiona dunia...........jitu linahongwa sarawili na vijambakoti na waarabu!!
Huwezi kushindana na hilo jitu!!
Mawazo mgando!
Kuzaliwa miaka mingi iliyopita sio kigezo cha yeye kujua zaidi ya wengine, vile vile kuzunguka dunia hakumpi mtu maarifa kama ubongo wake hauna uwezo wa kuelewa!!!
Mawazo kama haya ndio yanayowafanya vijana washindwe kuthubutu kisa wazee waliozaliwa miaka mingi na wamekuwa viongozi miaka mingi hawakuweza kutekeleza vitu flani!!
Be a great thinker....
kimekuvutia hicho kitu cha mauwamauwaaa...au aliyekivaa kitu hicho?!