Picha imenichefua hii!!

Picha imenichefua hii!!

Watu siku hizi wana acha husia,jeneza au kaburi liwe kama chupa ya kunyagi,
Wengine kaburi litengezwe kama wowowo,wengine kaburi liwe na mfano wa ndege.
 
Hivi wewe haswa, unataka kushindana kuvaa na handsome Kikwete? jitu lililoiona dunia kabla yako? linalozunguka dunia kama kiongozi kabla hujazaliwa? Unanchekesha!

Hilo huwezi kushindana nalo kwa viwalo , linanunuliwa suti za kuhongwa na waarabuuuuu! mashallah
 
Natoa Tamko: we ritz uko wapi.. amka haraka uccoment hapa.. acha miuvivu kwanini unamwachia faiza foxy peke yake.. haya haraka.. comment?
 
Mawazo mgando ni yale ya kuponda mtu ambae cv yake inaonesha kuwa ni "leader" kuanzia shule, ooppsss, kuanzia wazee wake. Sasa wewe una japo ka 1% ka cv ya Jakaya? Unanchekesha!
Kama ni kuchumia tumbo, wewe sasa umezidi. Shame on you!
 
308918_1869510356985_1817906035_1315412_1359636296_n.jpg
[/QUOTE



Umeisha zoe kumuana kwenye suti mazoea yana tabu hayo ndio mapigo sasa
 
Mawazo mgando ni yale ya kuponda mtu ambae cv yake inaonesha kuwa ni "leader" kuanzia shule, ooppsss, kuanzia wazee wake. Sasa wewe una japo ka 1% ka cv ya Jakaya? Unanchekesha!
jibu la mjinga ni kukaa kimya tu..............bibi hebu cheza na wajukuu vijana humu watakupa stress tu.
 
aahh mkulu hana shida alikuwa anatuonyesha mkanda...
 
Hivi wewe haswa, unataka kushindana kuvaa na handsome Kikwete? jitu lililoiona dunia kabla yako? linalozunguka dunia kama kiongozi kabla hujazaliwa? Unanchekesha!

Duh!Ukipenda kitu wakati mwingine usababisha mtu kuwa na mawazo mgando!cha ajabu hapa ni kuwa members wa JF sasa tunajuana kwa umri na personal status wakati tunatumia anonymous names!haya ni maajabu ya mwaka!
 
Ritz aje kufanya nini hapa? jaribu kufuatilia post yoyote inayomhusu JK, Ritz hatii pua.
Ritz = Ridhiwan

Natoa Tamko: we ritz uko wapi.. amka haraka uccoment hapa.. acha miuvivu kwanini unamwachia faiza foxy peke yake.. haya haraka.. comment?
 
Una maanisha nini kusema hii ni nembo yenu?
lens14187221_1286801295tanzania-history-coat-arm

Nijuavyo mimi hii ni nembo ya serikali ya Jamhuri ya Tanzania,wala si ya chama chochote cha siasa au kikundi furani cha watu au familia furani.Labda wao ndiyo serikali yenyewe!kichekesho!
 
][/COLOR]Hivi wewe haswa, unataka kushindana kuvaa na handsome Kikwete? jitu lililoiona dunia kabla yako? linalozunguka dunia kama kiongozi kabla hujazaliwa? Unanchekesha!


K I C H E F U C H E F U ( mara 100............................
 
mama, naona unasisitiza hili neno (in red), unanilazimisha kufikiri juu ya hii katuni ambapo mwanzoni nilipoiona niliidharau!cartoon.jpg
Hivi wewe haswa, unataka kushindana kuvaa na handsome Kikwete? jitu lililoiona dunia kabla yako? linalozunguka dunia kama kiongozi kabla hujazaliwa? Unanchekesha!
Usongo tu uliekuchefuwa na si picha,, picha nzuri na handsome limependeza na nembo yetu pembeni. MashAllah!
 
Back
Top Bottom