Mdada unavaa hivi Unategemea nini?????
let her live her life,
kila mtu na choice/preference zake..
hata wewe ukiamua kufunika mwili wote kwa vitenge...
hakuna atakayekuhoji,
hakuna kitu kwa mwanamke...kama kuvaa nguo na kufeel,you are one sexy bomb!
deep inside is what we always crave/desire
labda kama huna confidence..
na mwili wako hauruhusu...
ila we all want to be strippers...sometimes..!:A S 100:
FirstLady,
Naomba kukuuliza Da'yetu... Je, una m-judge huyo dada kulingana na mavazi yake kama ulivyoweka hiyo picha juu au kwa mambo mengine ambayo bado hayajaongelewa hapa?!
mama wa kwanza punguza hasira bibie.........................!kaka zako ndio pipi zetu za macho hizi.................!
halafu kademu kenyewe kabaya, hakuna makalio hapo na wala hakuna mwanamke nyonga hapo.
Muacheni dada wa watu ajitangaze atiii;
Sijaona ubaya wowote wa hilo vazi la huyo dada. Kavaa kapendeza. Pengine wanawake wengine hawajui kuwa wanavaa kwa taste ya wanaume, na si kwa taste ya wanawake. Alivyovaa hivyo huyo dada mi nimeona kapendeza sana na nikikutana naye nitamtazama mara mbilimbili, ananivutia yaani. Nani asiyependa kutazama kinachovutia? Tuache unafiki.
Mimi bwana napenda mwanamke avae aonekane sexy, hata nikiwa nafanya naye kazi ofisi moja nafurahia kuja kazini, sio kwamba namtaka nikamlale, lakini anachangia kupendezesha yale mazingira kama tunavyoona maua mazuri bustanini.
Wanawake pendezeni, sisi wanaume liberals tunawaunga mkono. Hao mahafidhina walioathiriwa na dini za wazungu na waarabu wasiwababaishe.
Anaonyesha hicho kitu cha mkanda mmoja amenunua bado kipya