Uelekeo555
JF-Expert Member
- Jun 1, 2024
- 300
- 201
- Thread starter
- #21
How?Bodaboda 😎
How?Bodaboda 😎
How?How?
Hizi chuki za nini?Zama za kizimkazi hizi
Kwani ni Nani huyu ?View attachment 3582626
PPPC Yamtunuku Mwanaid Araba Tuzo ya Mfanyakazi Hodari 2025|2026
==
Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) kimempongeza Mwanaid Araba, Afisa Mwandamizi Msimamizi wa Fedha, kwa kuchaguliwa kuwa Mfanyakazi Hodari wa mwaka 2025|2026.
Menejimenti na watumishi wa kituo hicho wametoa pongezi kwa mchango wake katika maandalizi na uchambuzi wa miradi ya PPP.
Ni mfanyakazi boraKwani ni Nani huyu ?
Wakiristo wa JF mkiona hivi mnaumia sana. Mlizoea kutudanganya wakati hakuna mitandao kama nyinyi ndio wasomi na wachapakazi pekee na wengine watu wa madrasa. Yaani mlikua kama USA kuidanganya dunia kwamba ndio jeshi lenye nguvu kabla ya vita vya IranMtumiane WhatsApp
Acha mambo ya udiniWakiristo mkiona hivi mnaumia sana. Mlizoea kutudanganya wakati hakuna mitandao kama nyinyi ndio wasomi na wachapakazi pekee na wengine watu wa madrasa. Yaani mlikua kama USA kuidanganya dunia kwamba ndio jeshi lenye nguvu kabla ya vita vya Iran
Tufate yepi?Acha mambo ya udini
Unganisha watuTufate yepi?
Kazi juu ya kazi yani bampa to bampa😁How?
Ripoti ya chande CHADEMA umeikataa. Utaunganisha vipi?Unganisha watu
Hongera sanaaaaaView attachment 3582626
PPPC Yamtunuku Mwanaid Araba Tuzo ya Mfanyakazi Hodari 2025|2026
==
Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) kimempongeza Mwanaid Araba, Afisa Mwandamizi Msimamizi wa Fedha, kwa kuchaguliwa kuwa Mfanyakazi Hodari wa mwaka 2025|2026.
Menejimenti na watumishi wa kituo hicho wametoa pongezi kwa mchango wake katika maandalizi na uchambuzi wa miradi ya PPP.
Asilimia kubwa kobazi tz wazuri, tofauti na sura gimbi za uyoleNimemtamani bosi wako 😋😋.
Kuna binadamu anajiita "makebo"?Tunapoelekea atakuja mwingine ajiite Keba na yoo!
wapo wengi mbona ; yey ni mtu maarufu auNi mfanyakazi bora
Naunga mkono hoja 😎.Asilimia kubwa kobazi tz wazuri, tofauti na sura gimbi za uyole
Makebo ni choko aliyekubuhu kweli kweli 😂.Kuna binadamu anajiita "makebo"?Tunapoelekea atakuja mwingine ajiite Keba na yoo!