Picha hii inazungumza yote ~ A more than thousands words

_51307977_kikwete_ap.jpg
mmmmmmh!!!! Ndg yangu! Mtazamo huu mi nachoka kabisa.
m
 
kwa hili nampa big up Jk hapo kaonyesha yuko pamoja na wahanga,sijawhai ona rais anamlisha mtoto licha ya kuzunguka kwangu sehemu mbalimbali huku umangani. wasiwasi wangu wauguzi walijua anakuja wakaanda wadi kuwa safi na mashuka mapya,awe anafanya safari za kushtukiza ndio atajua uozo wa hospitali zetu.
 
" Tulitaka tukuuweni mfe fii, mbona weye kibinti uko hapa?? Oh, kula hii, tulia tupige picha ya kuwadanganya wadanganyika ...!
 

Hii ndio kazi ya mpiga picha wa ofisi ya raisi, dairly news na TBC. Jamani huyu mtu si kiongozi ni msanii. Kwanini hakuchagua fani ya uwanamuziki? Hii usanii wa music au maigizo ingemfaa sana...
 
Spika kimeo, hili si jambo la dharura, sasa bosi wake anatufuta nini mahospitalini? Inamaani hili lilikuwa kwenye ratiba ambayo spika anayo ya shughuli za raisiza mwezi huu siyo? Huyu mama analake jambo, mbona hakuwatangazia wananchi kwa kutakuwa na milipuko ya mabomu na raisi atatembelea majeruhi hospitalini?,
mama mwalimu wako wa kiswahili alikufundisha nini maana ya neno dharura? Kama hufahamu nenda katafute kamusi.
 
Maweeeeeeeeeeeeeeeeeee, uwiiiiiiiiiiii , mbavu sina yaaani Jf sometimes raha tupu. Huyo binti angekuwa walau na nyonyo... angeilipa hiyo chupusi kavu, ahahahaaaaaaa
 
lets go beyond and talk about the picture.........we all seem to be lazy thinkers,therez much to say
......................anzia na tofauti ya quality ya nguo ya muheshimiwa na mtt,go beyond compare the quality ya nguo ya rais na kitanda na mazingira ya hospitali.....lool!!!weird.....tujiulize,raisi wetu ni mtumishi wetu,watanzania wote kwa umoja ndio tumemwajiri na kumpa kazi na ndo tunamlipa......tuanzie hapa why te difference??the gap......
 
naskia mtoto ana instinct za hatari.

aligoma kulishwa.

mods watuwekee sloo mosheni tuone.

Mimi niliiona hii kitu kwenye chten tv. Dogo alikataa ule msosi aliochotewa na kimeo. Akatikisa bichwa akiashiria mgomo. Ikawa aibu.
 
Spika kimeo, hili si jambo la dharura, sasa bosi wake anatufuta nini mahospitalini? Inamaani hili lilikuwa kwenye ratiba ambayo spika anayo ya shughuli za raisiza mwezi huu siyo? Huyu mama analake jambo, mbona hakuwatangazia wananchi kwa kutakuwa na milipuko ya mabomu na raisi atatembelea majeruhi hospitalini?,
mama mwalimu wako wa kiswahili alikufundisha nini maana ya neno dharura? Kama hufahamu nenda katafute kamusi.
Kiukweli mama spika lugha inamtatiza. Yaani anajikanyagakanyaga tu.
 
kula 2 hivi vichipsi ila ujue ukitoka hapo unaenda kuishi kwenye hema kwa muda usiojulikana na mlo huu utaukumbuka wani huko chamoto utakiona
 
Spika kimeo, hili si jambo la dharura, sasa bosi wake anatufuta nini mahospitalini? Inamaani hili lilikuwa kwenye ratiba ambayo spika anayo ya shughuli za raisiza mwezi huu siyo? Huyu mama analake jambo, mbona hakuwatangazia wananchi kwa kutakuwa na milipuko ya mabomu na raisi atatembelea majeruhi hospitalini?,
mama mwalimu wako wa kiswahili alikufundisha nini maana ya neno dharura? Kama hufahamu nenda katafute kamusi.
Hii ni dharura kwetu wananchi, lakini sio kwao kwa sababu ni mpango ambao viongozi wa juu waliujua kabla. Na pale bungeni alisema kweli kwa sababu na yeye ni mmoja wa waliokuwa wanalifahamu hilo, hakuropoka wala kukosea na usikute hata kwenye ratiba ya JK hii ilikuwepo. Ivi ni wanajeshi wangapi wametangazwa kufa?
 
Kwa wale tulioona TV hako katoto kalikataa kula kakapindisha shingo. Sasa hii ni shida ya hizi picha za mnato
 
Kwanza hiyo ni juhudi ya kumsaidia vipi huyo binti? Kamkuta anakijiko anakula halafu anataka dogo aache ategemee yeye amlishe? Kwanza watoto wa umri ule hawapendi kulishwa hata na wazazi wao wanapenda wachote wenyewe wale.
Halafu ni aibu kuona Raisi anakubali huo mpangilio wa chakula kuwekwa kitandani ili mgonjwa ale sahani ikiwa juu ya godoro. Wenzetu wanavimeza special aidha pembeni mwa kitanda au inayovutika kutoka ukutani ikakaa juu ya godoro na sahani huwekwa pale kistaatabu. Sasa sijui hata huyu mpiga picha nia yake ilikuwa nini kama siyo kumdhalilisha Mkuu wa nchi?
 
Back
Top Bottom