Emmanuel Lema
Member
- May 27, 2014
- 46
- 9
Hakuna jiwe litakalosalia.Tutasambaratisha CCM kuanzia kwenye Familia hadi Taifa.
Count my words!
Kama ni kuwasambaratisha tulishamaliza Molemo. Kinachofanyika sasa ni mwenye nyumba kuondoa virago vya mtesi CCM. Rorya, Kyela, Njombe, Kahama, Muleba na nchi nzima kuna operesheni ya kurejesha utawala wa Mungu kwa watu wake.