Picha: Esther Matiko Akiiisambaratisha CCM Rorya

Picha: Esther Matiko Akiiisambaratisha CCM Rorya

Hakuna jiwe litakalosalia.Tutasambaratisha CCM kuanzia kwenye Familia hadi Taifa.

Count my words!

Kama ni kuwasambaratisha tulishamaliza Molemo. Kinachofanyika sasa ni mwenye nyumba kuondoa virago vya mtesi CCM. Rorya, Kyela, Njombe, Kahama, Muleba na nchi nzima kuna operesheni ya kurejesha utawala wa Mungu kwa watu wake.
 
Wale wanaosema Chadema inakufa watasubiri sana.Chadema ni mpango wa Mungu.

Warning: Lumumba buku 7 kaa mbali na uzi huu.

Hayo maono kuwa chadema ni mpango wa Mungu alifunuliwa Father Slaa au??
 
kama wewe siku utahudhuria mkutano wa chadema ndio utaaga ccm siku hiyo maana ni.kama kuonja asali
Nilianza kuhudhuria mikutano ya CHADEMA kabla hujaifahamu, wakati huo ikiwa pale Kisutu.
 
Hatushindanishi skills za architecture mara majengo mazuri n.k tunaeneza ujumbe wa matumaini kama walivyoeneza waasisi wa Taifa hili bila kuwekeza kwenye majengo mazuri

Ni suala la durability na sio mashindano. . . . .By then.hayakuwa mazuri , . . .the point is hilo jengo lingeweza kuwa imara zaid, kubwa na lenye hadhi zaid ya hilo(definition ya uzuri) na kwa kufanya hivyo wala isingepunguza mapenzi unayoyazungumzia. . . . . . mnarudi kulekule kujenga vitu vya muda baadaye kazi hii hii itarudiwa labda kwa kuweka jiwe la msingi katibu mwenezi, kushiriki ujenzi katibu mkuu, kufungua jengo mwenyekiti . . . . . . .

Unaweza kuwekeza mioyoni huku inaweka infastructures za kuendelea kumwagilia hiyo mbegu ya mioyoni!!!!

Take it or leave it. . . . hiyo ndio methodology ya community derived action for sustainable attitude and physical development
 
Red Brigade hata uki google utapata majibu, lakini nnakuhakikishia tutawadhibiti, hatutaacha upuuzi uendelee.

Kumbuka hilo.

Mtajisumbua bure....red briged ipo kisheria....Greenguards tumbo njaa tutawadhibiti vzuri tu....
 
Molemo Lumumba buku 7 wakikaa mbali watakula wapi? Wenzio wanalipwa kwa kuwepo jf na kupost utumbo kwenye kila uzi hivyo usitegemee wakae mbali,,.....


Hongera Ester Matiko

Hongera kwa wote waliojitambua na kuamua kuchagua mabadiliko!

Siku JF ikifungwa ni maafa! teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Rorya mnahangaika tu, kule ni CCM tu.

TataMadiba;
Hivi hiyo kata ipo Tarime au Rorya? Mbona ka nimesoma kuwa Esta amefungua ofisi ya Kata huko Rorya. Iweje ccm tupu halafu huyu mama afungue ofisi ya Chadema?
Usiogope, Hatuhitaji amira kilo moja kuivisha mandazi ya unga kilo moja. Twahitaji kale kakijiko kadogo sana kumliza kazi ya unga kilo moja. Upo TataMadiba? Tulihitaji uwepo wa ofisi tu pale Rorya, Wajaluo waamshwe, waseme; Hatudanganyikiiiii. Ofisi tayari, na kadi tumeziona. Mlisema CDM ni chama cha msimu, Haya sasa, chama cha msimu kimekuwa mwiba, ukikuchoma una wewesekaaaaaa.
CDM ni mpango wa Mungu kuuletea umma ukombozi kamili
 
Esther matiko si ndio mchumba wa naibu katibu wa Chadema mzanzibar wa tarime Salim Mwalim?
 
Back
Top Bottom