Standalone
JF-Expert Member
- Nov 15, 2014
- 676
- 576
Mbunge wa Viti Maalumu Chadema Bi Esther Matiko amefanya kazi kubwa kujenga Chadema Rorya ambapo juzi Amekabithi ofisi ya Chama Kata ya Susuni.
Ikumbukwe pia nyumba hii aliinunua mwaka juzi na kuikarabati taratibu, ina vyumba viwili vya ofisi na ukumbi mdogo wa mikutano ya kata.
Pia amewapatia viti 12 kurahisisha Vikao vya Kamati tendaji..Kwenye Kata hii CHADEMA walikuwa wamekodi ofisi kwenye nyumba ya mccm aliyekuwa anawasumbua mara kwa mara japo kodi alikwisha pewa ya miaka miwili.
Hawa Ndio Wabunge wa Chadema, Hii ndio Chadema…
Ikumbukwe pia nyumba hii aliinunua mwaka juzi na kuikarabati taratibu, ina vyumba viwili vya ofisi na ukumbi mdogo wa mikutano ya kata.
Pia amewapatia viti 12 kurahisisha Vikao vya Kamati tendaji..Kwenye Kata hii CHADEMA walikuwa wamekodi ofisi kwenye nyumba ya mccm aliyekuwa anawasumbua mara kwa mara japo kodi alikwisha pewa ya miaka miwili.
Hawa Ndio Wabunge wa Chadema, Hii ndio Chadema…