Mwenyekiti wa wilaya hiyo ni jamaa yangu anaitwa adero Hahaaa Hongeran mno kwa kwendelelea kuisulubu Ccm watakufa kwa presha hawa sun asee
Uchaguzi wa vitongoji na vijiji umeiacha CCM uchi wa mnyama huko Rorya.
Vijiji vingine wagombea wa Chadema walipita bila kupingwa hawakuwa na mpinzani.