Standalone
JF-Expert Member
- Nov 15, 2014
- 676
- 576
- Thread starter
- #61
Haikua jambo zuri hata kwa TANU kukosa ofisi wakati wanapigania ukombozi wa Kwanza .
Na haikua jambo zuri kwa CHADEMA kukosa Ofisi kikiwa na Wabunge 5 lakini hadi sasa kina wabunge karibia 50 na ofisi zinaendelea kujengwa lakini zile ofisi kuu mioyoni mwa watanzania zimezidi kuimarika na kupendeza zaidi
Asante sana Kamanda Ben Saanane Umeandika Vyema sana...
Hakuna Ofisi kubwa kama ambayo inajengwa na Mh Mbowe ndani ya Mioyo ya watanzania...
CCM wana ofisi lakini zimegeuka sehemu za kwenda kupigia Dili na kusepa...