Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,873
Wewe unatabia ya Fisi kila ukiona mzoga unakimbilia utakuta nivami ndio yatakubabua mdomoKatika hiyo picha kuna watu wazima 13 na mtoto mdogo mmoja.
Nauliza, wa zamani wepi wapya wepi?
Wewe unatabia ya Fisi kila ukiona mzoga unakimbilia utakuta nivami ndio yatakubabua mdomoKatika hiyo picha kuna watu wazima 13 na mtoto mdogo mmoja.
Nauliza, wa zamani wepi wapya wepi?
molemo umesahau jembe christowaja mtinda ameifuta ccm juzi singida magharibi! magamba yameokoka mbaya.
Kwa taarifa yako hapo ni kitongojini.
CCM mnaelekea kaburini sasa.
wewe utakua kichwa nazi! yani huoni ccm waliojanjaruka wanavyo kuja chadema hapo? utajikuta umebaki wewe na wasira shangaa hapo.
Wewe unatabia ya Fisi kila ukiona mzoga unakimbilia utakuta nivami ndio yatakubabua mdomo
Kasome swali nililouliza sikuuliza hapo ni wapi.
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
wewe utakua kichwa nazi! yani huoni ccm waliojanjaruka wanavyo kuja chadema hapo? utajikuta umebaki wewe na wasira shangaa hapo.
Fisi ni yule aliyeitisha mkutano haramu walipokuja wazee wa kazi akajificha nyuma ya maspika, unakumbuka?
Wewe unatabia ya Fisi kila ukiona mzoga unakimbilia utakuta nivami ndio yatakubabua mdomo
Haikua jambo zuri hata kwa TANU kukosa ofisi wakati wanapigania ukombozi wa Kwanza .
Na haikua jambo zuri kwa CHADEMA kukosa Ofisi kikiwa na Wabunge 5 lakini hadi sasa kina wabunge karibia 50 na ofisi zinaendelea kujengwa lakini zile ofisi kuu mioyoni mwa watanzania zimezidi kuimarika na kupendeza zaidi
Kichwa cha nazi ni baba'ko na mama'ko, waulize walikuwa chadomo wao, kama unawajuwa.
Kichwa cha nazi ni baba'ko na mama'ko, waulize walikuwa chadomo wao, kama unawajuwa.
Kasome swali nililouliza sikuuliza hapo ni wapi.
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
LAKINI HAWAJAANDIKA VIZURI HAYO MAANDISHI KWENYE JENGO......NANDHANI WALITUMIA MKONO WA KUSHOTO.....:eyebrows::eyebrows:
Darasani alikuwa vizuri, kwenye ulecturer alikuwa vizuri pale UDSM 2009 Akifundisha IM100 Namkumbuka kwa ufundishaji wake wenye weredi HABARI NJEMA ni kuwa SASA mpaka chamani na taifani anafanya vizuri...God bless you madam Ester_matiku
Kamanda Standalone mwache mimi ndio kiboko ya hawa vibuyuMkuu FaizaFoxy Tafadhali Matusi hapa sio mahala pake...Usitake tujue Jinsi ulivyo...