Picha: Esther Matiko Akiiisambaratisha CCM Rorya

Picha: Esther Matiko Akiiisambaratisha CCM Rorya

Jamani hata pesa ya kuandikiwa maandishi hakuna hadi mnaandikia Markpen!! Hapo pia mtasingizia CCM.

Hapo zimetumika raslimali zilizopo ki halali....hata kama wangeandikia mkaa umetambua kwamba ni CHADEMA. Ingekuwa CCM kuchora ukutani isingekuwa chini ya Millioni tatu. Nyie wote wapigaji kama GURUMO
 
Kamanda Molemo ccm wakisikia tunatoa habari kama hizi wana haha sana tuendele kuamsha watanzania kwenye hii kazi ya Mungu

Hakuna jiwe litakalosalia.Tutasambaratisha CCM kuanzia kwenye Familia hadi Taifa.

Count my words!
 
mkuu Stand alone Mungu akubariki sana mjomba , unajua leo kutokana na majukumu ya kazi mchana umenipita kushoto , lakini baada ya uzi wako najisikia shibe ile mbaya !
 
Mwenyekiti wa wilaya hiyo ni jamaa yangu anaitwa adero Hahaaa Hongeran mno kwa kwendelelea kuisulubu Ccm watakufa kwa presha hawa sun asee
 
...

.....Nafarijika sana !!!!


attachment.php
 
Chalinze penyewe wanapumulia mashine

Chalinze wanaipenda CCM kwa maana Ndugu yao na nduguze wako ikulu,,,,

Wanajisifu wana mapesa pande zote za suruali...cc Gurumo
 
mkuu Stand alone Mungu akubariki sana mjomba , unajua leo kutokana na majukumu ya kazi mchana umenipita kushoto , lakini baada ya uzi wako najisikia shibe ile mbaya !

Nakuunga mkono.Ukombozi umeshafika kwenye milango yetu.Ni sisi tu kifungua milango na kuukaribisha ndani.
 
Mwenyekiti wa wilaya hiyo ni jamaa yangu anaitwa adero Hahaaa Hongeran mno kwa kwendelelea kuisulubu Ccm watakufa kwa presha hawa sun asee

Uchaguzi wa vitongoji na vijiji umeiacha CCM uchi wa mnyama
 
Back
Top Bottom