Hizi habari ccm wakisikia lazima Nepi ataweweseka sana
Darasani alikuwa vizuri, kwenye ulecturer alikuwa vizuri pale UDSM 2009 Akifundisha IM100 Namkumbuka kwa ufundishaji wake wenye weredi HABARI NJEMA ni kuwa SASA mpaka chamani na taifani anafanya vizuri...God bless you madam Ester_matiku
nape ameona picha za redbriged mwanza,mbeya na kwingine ameanza kujinyea!! sasa akiona picha hizi za kamanda ester matiku si ataanguka kama mzee wa msituni.
Hongera kwake. . . . . .ila sasa chama kukosa ofisi nayo sio jambo zuri mbona, hata ya tope???!!!
Teh teh.... kweli ajiandae manake kimbunga kinakuja siku sio nyingi
Haikua jambo zuri hata kwa TANU kukosa ofisi wakati wanapigania ukombozi wa Kwanza .
Na haikua jambo zuri kwa CHADEMA kukosa Ofisi kikiwa na Wabunge 5 lakini hadi sasa kina wabunge karibia 50 na ofisi zinaendelea kujengwa lakini zile ofisi kuu mioyoni mwa watanzania zimezidi kuimarika na kupendeza zaidi
Hongera kwake. . . . . .ila sasa chama kukosa ofisi nayo sio jambo zuri mbona, hata ya tope???!!!
You should never trust these rural populations, they are like unruly horse, you will never predict your destination
What are you trying to suggest then?....!
Ester Matiko ni baashi tu ya mambo makubwa yanayofanywa na wabunge wa chadema!
Mh.Lisu,
Mh. Msigwa,
Mh.Lema Godbless,
Mh.Natser,
Mh.opulukwa,
Mh.Pates,
Mh.Mnyika,
Mh.Sugu,
Mh.Silinde,
Mh.Mdee,
na nisiowataja waliochini ya kiongozi wa chama Taifa ambaye amefundwa siasa za hoja na matendo Mh.Freeman A Mbowe,wanafanya kazi inayotukuka,ni vigumu kuwasahau.
Nikiwa wilayani Ilala,nilishangaa kuona ofisi za ccm zilivyoshindwa kukarabatiwa,richa ya ruzuku kubwa,makusanyo ya pango zao kwenye jengo la Uvccm lakini ni aibu.
Nenda uone pale ofisi za ccm ziluzokaribu na Mahakama ya mwanzo ya Kariakoo,huwezi amini kama kuna Mbunge,Madiwani wa ccm kibao na wenyeviti wa serikali za mitaa wenye mapato kila kukicha.
Kila wanachopata na Mbunge ni tumboni,sasa wameshindwa kukifia chama,sembuse Wananchi?
Nasikia Gaudensia Kabaka (CCM) waziri wa kazi na vijana naye analinyemelea hilo jimbo, baada ya mbunge wake wa sasa Lameck Airo (STD VII) kutangaza kutogombea tena.
Katika hiyo picha kuna watu wazima 13 na mtoto mdogo mmoja.
Nauliza, wa zamani wepi wapya wepi?
Katika hiyo picha kuna watu wazima 13 na mtoto mdogo mmoja.
Nauliza, wa zamani wepi wapya wepi?