Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,137
- 4,206
Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya 4 Dkt. Gharib Mohamed Bilal katika maafali ya 7 ya kutunuku shahada za Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela amewataka wahitimu hao kuwa chachu ya mabadiliko katika kukuza uchumi wa nchi.
Chanzo: DarMpya Twitter
Chanzo: DarMpya Twitter