Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 581
- 574
- Thread starter
- #21
Ndiyo, Makatibu Wastaafu huwa wanaalikwa kama wageni waalikwa.Ni mualikwa tu sio mjumbe soma hiyo badge vizuri. Kiufupi kaingia kama observer with no voting rights
Ndiyo, Makatibu Wastaafu huwa wanaalikwa kama wageni waalikwa.Ni mualikwa tu sio mjumbe soma hiyo badge vizuri. Kiufupi kaingia kama observer with no voting rights
Hahaha hapo alikuwa hajarekodiwa na kupigwa adhabuKwa kukusaidia maana unakosa uelekeo.
Mkutano Mkuu wa kumchagua Mgombea wa nafasi ya Urais 2020 pamoja na Halmashauri Kuu ya CCM 2020 kwa ajili ya kumchagua mgombea wa Urais Zanzibar Ndg. Kinana alikuwepo.
Alikuwa ameshapewa adhabu ila katika kikao cha Halmashauri Kuu ya 2020 ya kumchagua mgombea wa urais wa Zanzibar alisamehewaHahaha hapo alikuwa hajarekodiwa na kupigwa adhabu
Kazi gani ..... Ya kuhakikisha kuwa CCM inaendelea kushika Dola no matter what ....!!?Kazi aliyoifanya Bashiru inaheshimika, tunamuombea zaidi. Na Kama tu alivyosema mama “historia yako inakufuata”
Mkuu kama hujui katiba ya CCM na afadhali unyamaze tu, badala ya kukimbilia hapa kuuliza kama ni mwana CCM kweli unatakiwa ujue hao wajumbe wanaoingia kwenye mkutano ni wa aina gani, kama sio mwananchama na nina uhakika na hilo kwani usinguliza ujinga wako basi hayakuhusu haya mambo ya CCM.Bashiru anaingia kama nani kwenye huo mkutano?
duh mwendakazi aliacha ka-intoxicate vichwa vyenu. FoolishMkuu kama hujui katiba ya CCM na afadhali unyamaze tu, badala ya kukimbilia hapa kuuliza kama ni mwana CCM kweli unatakiwa ujue hao wajumbe wanaoingia kwenye mkutano ni wa aina gani, kama sio mwananchama na nina uhakika na hilo kwani usinguliza ujinga wako basi hayakuhusu haya mambo ya CCM.
Anasubiria uteuzi hapo ni mbunge viti maalum,anaweza kuteuliwa kua mwenyekiti UWTHana furaha.
Namuona sawia na kanali Kinana!
Unanionea Huruma??? Kweli wewe ni hovyo kabisa, unaweza jilinganisha na Dr. Bashiru? Jionee huruma mwenyewe cz bado huna achievement yoyoteAdi nimemuonea huruma maskini
Amekaa kama yatima,yani kinana hana hata habari nae,amekosa mtu wa kuongea nae amebaki mwenyewe mwanzo mwisho
Pale ni kama haamini kinachoendelea
Anatamani wamalize aondoke tu
Maisha yanastaabisha sana
Unanionea Huruma??? Kweli wewe ni hovyo kabisa, unaweza jilinganisha na Dr. Bashiru? Jionee huruma
mwenyewe cz
Unanionea Huruma??? Kweli wewe ni hovyo kabisa, unaweza jilinganisha na Dr. Bashiru? Jionee huruma mwenyewe cz bado huna
Umenifanya nicheke sanaUnanionea Huruma??? Kweli wewe ni hovyo kabisa, unaweza jilinganisha na Dr. Bashiru? Jionee huruma mwenyewe cz bado huna achievement yoyote
Ni wakati huo mzee Mangula alipewa sumu ili malengo yatimie. Shujaa aliamini kwenye uchawi na ulozi huku akipiga hoja kwa virungu badala ya hojaWakati wa Shujaa wa Africa hakuonekana kwenye mikutano kama hii
Endelea kunoa miguu mpaka yesu atakaporudiNi wakati huo mzee Mangula alipewa sumu ili malengo yatimie. Shujaa aliamini kwenye uchawi na ulozi huku akipiga hoja kwa virungu badala ya hoja
Asante mungu limekufa lile dubwasha
Hivi neno mrundi una litumia kama tusi, kejeri au dhihaka? Au ni ubaguzi na chuki? Maana kama ni moja ya hayo sina uhakika kama watu wa taifa la Burundi ambao wanaiheshimu Tanzania na watu wake watakuona wewe ni bora kuliko wao!Mrundi kafukuzwa na ccm asili,aende chato akakae na mrundi mwenzakeView attachment 1768725