NAOMBA KUULIZA HIVI MWAMPAMBA NA SHONZA mbona hawakuwepo Morogoro kutumbuiza?au kimetokea nini?kinana vs wananchi waliopewa buku buku za vocha!
kinana: ndugu wananchi tumewaletea wasanii wengi sana je CHADEMA wanaletaga?
wananchi:hawaletagi!
kinana: ccm oyeeee!
wananchi😱yeeeee
kinana: kidumu chama cha mapinduz
wananchi:kidumu chama tawala
kinana;ccm imewaleta marais wa china ,marekan, je CHADEMA wamemleta nani?
wananchi:hawajaleta yeyote!
kinana: ccm oyeeee!
wananchi😱yeeeee
kinana:ndugu wananchi rais ni handsome au sio handsome
wananchi:handsome!
kinana: ccm oyeeee!
wananchi😱yeeeee
ccm imekataliwa DUNIANI NA MBINGUNI!!
CDM NDIO MPANGO WA MUNGU!!
hapo vipi?
Leo attention ya taifa zima ilikuwa Morogoro, naona sasa tunaweza kujadili mambo mengine.
Enhe, mnasemaje?
A Picture Speaks a Thousand Words...
Utakavyo penda kuilezea ndivyo hivyo lakini ukweli unabakia ni ule ule.
kuwa CCM ni lazima uwe mjinga kwanza ....sijui nini kilimtuma kiana kingia kwenyen kundi kama hli!kinana vs wananchi waliopewa buku buku za vocha!
kinana: ndugu wananchi tumewaletea wasanii wengi sana je CHADEMA wanaletaga?
wananchi:hawaletagi!
kinana: ccm oyeeee!
wananchi😱yeeeee
kinana: kidumu chama cha mapinduz
wananchi:kidumu chama tawala
kinana;ccm imewaleta marais wa china ,marekan, je CHADEMA wamemleta nani?
wananchi:hawajaleta yeyote!
kinana: ccm oyeeee!
wananchi😱yeeeee
kinana:ndugu wananchi rais ni handsome au sio handsome
wananchi:handsome!
kinana: ccm oyeeee!
wananchi😱yeeeee
Kuna mkuu mmoja anaitwa Chuki alikuwa anaeleza kwa uhakika kwamba research yake inaonyesha kwamba CHADEMA imechokwa wala watu hawana muda wa kupoteza kuwasikiliza, natamani apitie huu uzi akjiridhishe na pengine akabadili conclusion ya finding zake.
Picha inaongea zaidi ya maneno asante sana mkuu wangu Kibanga
kinana vs wananchi waliopewa buku buku za vocha!
kinana: ndugu wananchi tumewaletea wasanii wengi sana je CHADEMA wanaletaga?
wananchi:hawaletagi!
kinana: ccm oyeeee!
wananchi😱yeeeee
kinana: kidumu chama cha mapinduz
wananchi:kidumu chama tawala
kinana;ccm imewaleta marais wa china ,marekan, je CHADEMA wamemleta nani?
wananchi:hawajaleta yeyote!
kinana: ccm oyeeee!
wananchi😱yeeeee
kinana:ndugu wananchi rais ni handsome au sio handsome
wananchi:handsome!
kinana: ccm oyeeee!
wananchi😱yeeeee
Hadhira hii inatuambia nini? Katika mikutano ya ccm hakuna hadhira ya kiume zaidi ya waandishi wa habari, walinzi na viongozi husika Hali kadharika picha inaonyesha mikutano ya chadema kuna kina mama wachache , hakuna watoto na hadhira kwa kiasi Fulani ni mchanganyiko lakini imejawa kwa kiasi kikubwa na wanaume! He hili linatuambia nini?
hapo vipi?
Kwenye somo la kiswahili ulipata ngapi mkuu?
1,Mauzui--maudhui
2.kadharika-- kadhalika
Mkuu nimecheka sana. Nimekumbuka kuna Mbunge mmoja wa CCM alisimama Bungeni akiitetea TISS na kusema "Mheshimiwa supika,usalama wa Taifa wanafanya kazi yao vizuri sana ndio maana hata Rais wa China kaja hapa,hawa wapinzani wanazani kama hakuna usalama Rais kama wa China anaweza kuja? ....."kinana vs wananchi waliopewa buku buku za vocha!
kinana: ndugu wananchi tumewaletea wasanii wengi sana je CHADEMA wanaletaga?
wananchi:hawaletagi!
kinana: ccm oyeeee!
wananchi😱yeeeee
kinana: kidumu chama cha mapinduz
wananchi:kidumu chama tawala
kinana;ccm imewaleta marais wa china ,marekan, je CHADEMA wamemleta nani?
wananchi:hawajaleta yeyote!
kinana: ccm oyeeee!
wananchi😱yeeeee
kinana:ndugu wananchi rais ni handsome au sio handsome
wananchi:handsome!
kinana: ccm oyeeee!
wananchi😱yeeeee
NAOMBA KUULIZA HIVI MWAMPAMBA NA SHONZA mbona hawakuwepo Morogoro kutumbuiza?au kimetokea nini?
unadanganyika na mikutano ya kipindi cha kampeni????