alexander paulo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 492
- 155
kwanza zote ni picha,pili naona msigwa anaongea kwa uchungu sana pale anapoona tembo wanapotea wakat kinana anawashangaa watu waliopo pale wakati ukwel anaujua wa ufisad, nne namwona mwanamziki mashuhuri sana apa tz na kumpata huyo mwanamziki yakubidi uwe na zaidi ya million 10 wakat kwengine siwaon wanamziki zaidi ya pipo,tano naona kijan nying na watoto wengi wakat mwanza naona jez tofaut na hakuna watotohapo vipi?