domo dimond kumbe ni Gamba.
Dogo kwa Domo sijui kama kuna Mtanzania anaemfikia! Nadhani ikianzishwa mashindano ya Wenye Midomo Mikubwa Duniani huyu Diamonddomo atashinda na kutuletea Medali ya Dhahabu!!
Huyu Dogo anachofanya kitakuja kumgarimu,! kukubali kwake kutumiwa na Chama na Serikali inayoibia wanachi Kukusanya watoto wetu ktk Mikutano ya siasa, ili ionekane kwamba Watanzania bado wana Imani na Wezi hawa wa Mali za Umma ni Dhambi itakayo mtafuna yeye na Kizazi chake kuanzia Uzao wa kwanza hadi wa Nne!!
Ktk Biblia Takatifu Mungu anasema kwamba Usivisujudie wala Kuvitumikia kwa kuwa mimi ni Bwana Mungu wako,ni Mungu mwenye Wivu Nawapatiliza Wana "MAOVU"ya baba zao! Hata Kizazi cha tatu na cha Nne cha wanichukizao!
Swala la Mkutano upi umejaza watu, hilo sio jambo la kuzungumzia kwani Upande mmoja uwanja ulijazwa na watoto walioenda kuangalia Shoo ya DOMO DIAMOND!! Na wenzake wengine wa Mipasho!!
lakini pia Waliokua watu wazima ni wale waliopewa buku daladala na Sharti ya kuvaa Yale Masare yao yaliyonifanya kuacha siku hizi kula Mboga za Majani kwa ajili ya Ukijani!!
Upande wa pili pamoja na kuwa hakukuwepo na Kina Domo diamond, lakini uwanja ulitapika ......na wazungumzaji walikua ni wabunge tu! Wakati wenzao wazungumzaji walikua Viongozi wakuu wa Chama!!
Hii ndio picha halisi kwamba Safari ya Kumuondoa Mkoloni Mweusi[CCM] inakaribia mwisho!!
MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!