Hapa ilipigwa taarabu!! vidole juu vidole juu!! Chama cha mipasho!
tunasemaje, kama ndo unaamka pitiapitia post humu ndo tuanze kuongea... hahaha.Leo attention ya taifa zima ilikuwa Morogoro, naona sasa tunaweza kujadili mambo mengine.
Enhe, mnasemaje?
A Picture Speaks a Thousand Words...
Unaweza ukaweka maneno unayopenda lakini ukweli ukawa bado ni ule ule.
kinana vs wananchi waliopewa buku buku za vocha!
kinana: ndugu wananchi tumewaletea wasanii wengi sana je CHADEMA wanaletaga?
wananchi:hawaletagi!
kinana: ccm oyeeee!
wananchiyeeeee
kinana: kidumu chama cha mapinduz
wananchi:kidumu chama tawala
kinana;ccm imewaleta marais wa china ,marekan, je CHADEMA wamemleta nani?
wananchi:hawajaleta yeyote!
kinana: ccm oyeeee!
wananchiyeeeee
kinana:ndugu wananchi rais ni handsome au sio handsome
wananchi:handsome!
kinana: ccm oyeeee!
wananchiyeeeee
domo dimond kumbe ni Gamba.
Maswali ya ufahamu ndugu zangu lakini msinipige mawe!
1)mkutano wa chadema umeandaliwa kwa siku ngapi na ccm siku ngapi???
2)makatibu wakuu wa vyama walikuwepo wote kwenye hiyo mikutano
3)ccm imetajwa mara ngapi kwenye mkutano wa chadema na chadema imetajwa mara ngapi kwenye mkutano wa ccm??
4)magari mangapi yametumika kusomba watu kwenye mikutano yote miwili??
5)wasanii gani na wangapi waliohudhuria kati ya hiyo mikutano miwili??
Angalizo:Majibu yakiwa ya ukweli tutajua ni chama kipi kinakubalika pia zile propaganda za kuvuna wanacha 4000 zitakuwa zimepata jibu mujarabu kama ni kweli au uongo!!!
TANZINIA NCHI YANGU NA MABADILIKO NI LAZIMA KWANGU!!!
kinana vs wananchi waliopewa buku buku za vocha!
kinana: ndugu wananchi tumewaletea wasanii wengi sana je CHADEMA wanaletaga?
wananchi:hawaletagi!
kinana: ccm oyeeee!
wananchiyeeeee
kinana: kidumu chama cha mapinduz
wananchi:kidumu chama tawala
kinana;ccm imewaleta marais wa china ,marekan, je CHADEMA wamemleta nani?
wananchi:hawajaleta yeyote!
kinana: ccm oyeeee!
wananchiyeeeee
kinana:ndugu wananchi rais ni handsome au sio handsome
wananchi:handsome!
kinana: ccm oyeeee!
wananchiyeeeee
Katibu mkuu yuko Dodoma. Mwanza yupo Lissu na wabunge wenzake walionyimwa haki yao bungeni. Sijui katibu mkuu angekuwepo Mwanza ingekuwaje. Nimeiskia hotuba ya Kinana online ingawa ilikuwa inakata sana. Sasa hivi wako defensive. hawana hoja, na hiyo ni a political plus for CDM, endeleeni kuwa offensive, they'll throw the towel.hivi katibu mkuu wa chadema alikuwepo mwanza?
hapo umenena mkuu mana hata shetani ataitwa mradi anaongeza mtaji. sijui huyomsanii kabanwa na choo kibwa!Kwa mtazamo wangu huyo jamaa aliyevaa kata 'K' anatia aibu ile mbaya. Haya ndiyo maadili mabovu tunayoyapiga vita. Watoto wetu wanajifunza nini kama chama cha siasa kinaweza kuruhusu hili? Watoto wetu bila shaka wataona inakubalika.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
hapo vipi?
domo dimond kumbe ni Gamba.