PICHA: Compare and contrast - Mwanza and Morgoro

PICHA: Compare and contrast - Mwanza and Morgoro

hahaha yaani wangejua MADINI yao yanaibiwa kiulaini na UMASKINI wetu unapandishwa Nawaonea Huruma kwa kutojitambua na kutofahamu behind the scene..
Hujui kama picha ina angle mbili. jinsi unavyowaonea huruma ndivyo nao wanavyokuonea huruma.

Match draw. huu ndiyo uzuri wa siasa.
 
524755_504881402892511_904643915_n.jpg
 
Ukweli lazima usemwe na upo mioyoni mwa watu, CHADEMA wamefunika mbaya.atakayesema hawajafunika huyo anatizama kwa kutumia ------.Viva CHADEMAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
Hapa walikuwa wanaitikia "Lewaaaaaaa"
Kibwagizo cha Diamond cha "nataka kulewa"
Concert ilifana sana aisee
A Picture Speaks a Thousand Words...

Utakavyo penda kuilezea ndivyo hivyo lakini ukweli unabakia ni ule ule.
 
Kwani hii yote miwili ilikuwa mikutano ya siasa? maana naona mwingine kama ulikuwa mkutano wa siasa na lingine tamasha la wanamuziki.

Ukiangalia picha utakuta wazungumzaji wa upande mmoja wa wanaongea kitu kwa hisia na wasikilizaji wanaonyesha ni watu wazima wanaonekana kusikiriza na kushirikisha akili zao kwa yale yanayozungumzwa. wakati picha za kijani inaonekana watu watoamaada wakijaribu kuwafurahisha watoto ambao ni wahongwa watarajiwa
Tunaposema CCM wamepoteza mvuto huwa tunamaanisha kuwa bila hayo madikodiko ya wanamuziki, kusafirisha makutano/wajumbe, kuwapa sare na kuwapa fedha hawaoni mtu kwenye mikutano yao. Kukusanya watu bila kuwa na hoja ya msingi zaidi ya kuwadanganya, mara nying huishia kupata watu wasiojua wanataka nini.
 
kinana vs wananchi waliopewa buku buku za vocha!
kinana: ndugu wananchi tumewaletea wasanii wengi sana je CHADEMA wanaletaga?
wananchi:hawaletagi!
kinana: ccm oyeeee!
wananchi😱yeeeee

kinana: kidumu chama cha mapinduz

wananchi:kidumu chama tawala
kinana;ccm imewaleta marais wa china ,marekan, je CHADEMA wamemleta nani?
wananchi:hawajaleta yeyote!
kinana: ccm oyeeee!

wananchi😱yeeeee
kinana:ndugu wananchi rais ni handsome au sio handsome
wananchi:handsome!
kinana: ccm oyeeee!
wananchi😱yeeeee

Kweli Kinana anakusanya wananchi kuwaambia haya. Mungu Ibariki Tanzania. Hili ni janga la Taifa. Badala ya kuainisha sera za chama na kuwaeleza wananchi mikakati ya chama ya kuwaondolea umaskini, anauliza kama CDM imewaletea wasanii na marais kutoka China. Ningetaka wasomi wenye uwezo wa kuchambua siasa bila upendeleo waje watuambie kama watanzania wanataka wasanii na marais wa nje aua maendeleo
 
Mie nadhani umekosea
Maana mmoja ni mkutano wa siasa....na kwingine ni Fiesta....yaani kuna watu wameenda kusikiliza hoja....na sehemu watu walipoenda kuwaona wasanii wakali bongo na staili mpya za mlegezo....full kuweka nje undewear (symbol ya nini vile)?
 
Da! kweli CCM imekufa!!
Dr Salaa aongezewe ulinzi maana wanadai yeye ndie anamaneno makali yanayokidharirisha CCM!
Lazima wapanic....VIVA CHADEMA!
 
Maswali ya ufahamu ndugu zangu lakini msinipige mawe!
1)mkutano wa chadema umeandaliwa kwa siku ngapi na ccm siku ngapi???
2)makatibu wakuu wa vyama walikuwepo wote kwenye hiyo mikutano
3)ccm imetajwa mara ngapi kwenye mkutano wa chadema na chadema imetajwa mara ngapi kwenye mkutano wa ccm??
4)magari mangapi yametumika kusomba watu kwenye mikutano yote miwili??
5)wasanii gani na wangapi waliohudhuria kati ya hiyo mikutano miwili??
Angalizo:Majibu yakiwa ya ukweli tutajua ni chama kipi kinakubalika pia zile propaganda za kuvuna wanacha 4000 zitakuwa zimepata jibu mujarabu kama ni kweli au uongo!!!
TANZINIA NCHI YANGU NA MABADILIKO NI LAZIMA KWANGU!!!
 
Hakuna cha propaganda hapa. CCM hakuna propaganda ndiyo maana kulikuwa kuna matangazo ya television na radio.

CCM haihitaji wakina thomaso wa kwenye biblia.
mkuu nakubaliana na wewe hiyo ni picha ya morogoro iliyopigwa kwa kwa level ya chini ili kupata taswir ya umati mkubwa sana, asiyejua mambo ya kamera anaweza akashtuka nakudhani ndo hali halisi na kumbe ni camera twist tu
ki ukweli mkutano wa leo sidhani kama umewajengea picha nzuri juu ya hatima ya ccm huko tuendako mh kinana na nape, na nahisi ndo maana kinana kaonyesha paniki ya wazi kwa chadema, muda mwingi alikuwa akiwambeleza wananchi wasiikubali chadema kama kwamba watu wamekwisha mwambia sisi tunahamia chadema, katibu mkuu wa ccm kumzungumzia kwa furaha katibu wa kata wa chadema kijijini huko turiani aliyejiunga ccm ni dalili za wazi za kuanza kuzidiwa
 
dah mwenye macho haambiwi tazama!! Chadema wanatisha ile mbaya usipime

Jamani mimi naomba wazazi wakatae kabisa tabia ya ccm kuwakusanya watoto na kuwapeleka kwenye madisco. Huu mchezo si mzuri. Wanawafundisha nini sasa pale? Kuvaa milegezo halfu kesho wakishindwa mitihani na kuvaa milegezo mtasema maadili yamemgomonyoka? Watoto wale pale watakuwa wanajifunza nini cha maana katika umri wao ule? Jamani ccm sasa mnazidi mipaka. Kama hakuna wadau, kaeni Lumumba mtengeneze video lakini si kuanza kutuharibia watoto.
 
Back
Top Bottom