Picha: CCM waendelea kujimaliza Muhambwe

Picha: CCM waendelea kujimaliza Muhambwe

Hahaaha aibu ya mwaka watoto wa lumumba hawana la kusem maana wanajisikia aibu lumumba njoon huku muone mkutano wenu, na bado mwaka huu mtakoma, ila hapo wangelikuwa na fis kidogo wangepa mahudhurio.
 
Mada zingine za kilevi kweli.

Labda ww hapo ndo umelewa kbs mwaka huu mtaipenda watanzania wamewachoka na wizi wenu, ila sikushangai sn mmezoea kusifiwa na kusomba watu na malory hili la fis bhana ndo linatia fora zaid.
 
Sasa mkuu unaniambia niache upinzani wakati unafahamu kuwa me ni mpinzani,ok either CCM wakupitishe ama wasikupitishe bt wanaMUHAMBWE hatutakuchagua kabisa,endelea kukaa Dar ama Russia bt Kb sahau
mi nimeuliza kwa sababu nimekaa naye kwa mda ila huko kwao sijui ndo maana nikasema hata ccm watampitisha kweli?maana jamaa navyomjua ni kigeugeu alikuwa upinzani nikashangaa now anajitokeza ccm
 
Wakuu sasa hivi kuna mkutano unaendelea uliondaliwa na CCM ngazi ya wilaya mbali na kukosa watu kituko kikuu ambacho kinaweza kuzua mtafaruku ni maneno ya katibu wa wilaya CCM ,anasema viongozi wa dini hawana mamlaka ya kuwasemea waamini wao kwani hata wao hakuna msafi,ameenda mbali zaidi kwa kumtaja askofu flani jina kapuni kwamba alichaguliwa kwa rushwa.

Mkutano huu wa CCM umeandaliwa kujibu mapigo kufuatia mkutano mkubwa wa wazi ulioandaliwa na makanisa yote ya kikristo ya wilaya Kibondo siku ya jumapili ,ambao pamoja na mambo mengine katika mkutano wa umoja wa kidini uliwahamasisha waamini wao waipigie kura ya hapana katiba pendekezwa.

Sasa wananchi wamekerwa na matamshi yake na wameanza miguno.
attachment.php

kweli migamba imechokwa. mbona mkutano wenyewe ni kama kikao cha harusi?
 
Eti wananchi wamekerwa na matamshi yake na wameanza miguno,sasa nani kawafunga miguu wakae hapo,wananchi mazuzu hao

Mkuu nipo hapa mkutanoni tayari watu washaanza kuondoka jibu
 
Ccm wameishiwa kweli yaani ushauri tuliowapa ACT wa kufanya mikutano sehemu za Stand na madukani ili kupata wasikilizaji wao ndiowanaufanyia kazi...!!! Ukongwe wao uko wapi sasa hawa?

Nilimuona Katibu wao leo tena hawa wameandaa mkutano stendi tena mkutano wenyewe wa Wilaya..!!!! kazi kweli kweli

BACK TANGANYIKA

Ni sikio la kufa hilo
 
Navyowajua watu wa hapo Kibondo niwatu wanaojitambua sana,wasikubali kuiludisha Ccm tena kwa sababu kama nikutunyonya walishafanya hivyo.Hapo ndipo nilizaliwa mkuu

Unawafahamu hasa hawa wana kigoma?
 
Hapo Mkosamali nae hawamtaki nadhani Chadema wajipange kupeleka mgombea mzuri wachukue hilo jimbo, na nasikia na rafiki yangu Jamal anataka kurudi ulingoni tena
 
Huyu gamba namfahamu,tunamfahamu,hawezi tusumbua wanaMuhambwe kwa sababu wananchi wanamtaka mbunge na diwani anaetokana na wao wenyewe,na si mtu anaegeuza jimbo na wananchi kama vitalu vya kuwindia ,anaekuja kukagua kitalu kama kuna wananyama then anarudi ughaibuni,yeye aendelee kujidanganya kwamba atachaguliwa kwa sababu tu eti amesomea nje
comment yako inaonesha kuwa kinachokusumbua hapa ni wivu na sio kingine.
 
Hahaaha aibu ya mwaka watoto wa lumumba hawana la kusem maana wanajisikia aibu lumumba njoon huku muone mkutano wenu, na bado mwaka huu mtakoma, ila hapo wangelikuwa na fis kidogo wangepa mahudhurio.

Inawezekana kinana kapigwa bit na waziri husika
 
Barabara ya Kidawe kwenda Nyakanazi ndio inaiadhibu ccm huko siasa ya Kigoma ni ya aina yake tusishangae awam hii hata ACT ikanyakua majimbo huko
 
Navyowajua watu wa hapo Kibondo niwatu wanaojitambua sana,wasikubali kuiludisha Ccm tena kwa sababu kama nikutunyonya walishafanya hivyo.Hapo ndipo nilizaliwa mkuu



Asante mkuu kwa kutuwakirisha huko ulipo,Kigoma na Kibondo kwa sasa ni CDM tupu+UKAWA
 
Hapa wafanyabiashara ndogo ndogo uwepo wao umeipa kampani CCM dhidi ya aibu ya kukosa watu
 

Attachments

  • 1427992312818.jpg
    1427992312818.jpg
    34.3 KB · Views: 162
Back
Top Bottom