Picha: CCM waendelea kujimaliza Muhambwe

Picha: CCM waendelea kujimaliza Muhambwe

Hahaaha aibu ya mwaka watoto wa lumumba hawana la kusem maana wanajisikia aibu lumumba njoon huku muone mkutano wenu, na bado mwaka huu mtakoma, ila hapo wangelikuwa na fis kidogo wangepa mahudhurio.



Chama cha mafisi qwi!qwi!
 
mi nimeuliza kwa sababu nimekaa naye kwa mda ila huko kwao sijui ndo maana nikasema hata ccm watampitisha kweli?maana jamaa navyomjua ni kigeugeu alikuwa upinzani nikashangaa now anajitokeza ccm



Ok mkuu,japo me sio mwanaCCM,lakini kwa jinsi yalivyo haya mafisi labda kama anagunia la fedha,bt nachelea kusema wewe ndo Mtanzania wa Kawaida
 
Ok mkuu,japo me sio mwanaCCM,lakini kwa jinsi yalivyo haya mafisi labda kama anagunia la fedha,bt nachelea kusema wewe ndo Mtanzania wa Kawaida
siwezi hata siku moja,hata baadhi JF wananifahamu mi nani.
 
Wakazi wa wilaya ya Kibondo mjini kwa kifupi wamemshangaa sana ,huyu katibu wa CCM na CCM kwa ujumla hasa kwa kauli zake za dharau kwa viongozi wa dini,anasema wamekula rushwa,anasema eti taasisi za dini hazina msaada ndani ya jamii,kwamba hata kurekebisha barabara wameshindwa,anasahau kwamba taasisi za dini zina mchango mkubwa katika elimu,afya na amani ya Tz,
 
Sasa mkuu unaniambia niache upinzani wakati unafahamu kuwa me ni mpinzani,ok either CCM wakupitishe ama wasikupitishe bt wanaMUHAMBWE hatutakuchagua kabisa,endelea kukaa Dar ama Russia bt Kb sahau
Hukumwelewa vizuri Viol.
 
Hiyo kalewa madalaka auhajui anako toka amesahahu kuwa viongozi wake walioko madalakani walisomea kwenyeza taass zakidini..huyo zuzutuuuu
 
Hapo Mkosamali nae hawamtaki nadhani Chadema wajipange kupeleka mgombea mzuri wachukue hilo jimbo, na nasikia na rafiki yangu Jamal anataka kurudi ulingoni tena



Jamila anataka kurudi,bt hili jimbo lipo wazi sana,si alieopo wala CCM anaeweza kulikomboa,ni CDM tu
 
Hiyo kalewa madalaka auhajui anako toka amesahahu kuwa viongozi wake walioko madalakani walisomea kwenyeza taass zakidini..huyo zuzutuuuu



Shukrani za Punda,bt ndo zao mafisiem,viongozi wa dini wakiwapinga wanakuja juu na kuwataka wavue majoho,bt wakisifiwa sawa
 
Back
Top Bottom