Picha: CCM waendelea kujimaliza Muhambwe

Picha: CCM waendelea kujimaliza Muhambwe

Nicholaus Kilunga

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
1,188
Reaction score
570
Wakuu sasa hivi kuna mkutano unaendelea uliondaliwa na CCM ngazi ya wilaya mbali na kukosa watu kituko kikuu ambacho kinaweza kuzua mtafaruku ni maneno ya katibu wa wilaya CCM ,anasema viongozi wa dini hawana mamlaka ya kuwasemea waamini wao kwani hata wao hakuna msafi,ameenda mbali zaidi kwa kumtaja askofu flani jina kapuni kwamba alichaguliwa kwa rushwa.

Mkutano huu wa CCM umeandaliwa kujibu mapigo kufuatia mkutano mkubwa wa wazi ulioandaliwa na makanisa yote ya kikristo ya wilaya Kibondo siku ya jumapili ,ambao pamoja na mambo mengine katika mkutano wa umoja wa kidini uliwahamasisha waamini wao waipigie kura ya hapana katiba pendekezwa.

Sasa wananchi wamekerwa na matamshi yake na wameanza miguno.
attachment.php
 

Attachments

  • 1427985215678.jpg
    1427985215678.jpg
    25.5 KB · Views: 8,113
Hawa ndo wahudhuliaji wa mkutano
 

Attachments

  • 1427985430304.jpg
    1427985430304.jpg
    31.5 KB · Views: 2,335
Katibu huyu wa wilaya CCM bwana Kinanda anasema viongozi wa dini kama wamekosa waamini wayageuze mkanisa vyama vya kisiasa na wayasajiri ili waweze kuongea siasa,kwani wao si wasafi pia
 
Watu wanamzomea katibu huyo kwa kusema viongozi wa dini baadhi wanachaguliwa kwa rushwa
 
Watu wa CCM ndo hawa,CCM baibai inazidi kujifuta
 

Attachments

  • 1427985754597.jpg
    1427985754597.jpg
    34.3 KB · Views: 1,768
Wakuu sasa hivi kuna mkutano unaendelea uliondaliwa na CCM ngazi ya wilaya mbali na kukosa watu kituko kikuu ambacho kinaweza kuzua mtafaruku ni maneno ya katibu wa wilaya CCM ,anasema viongozi wa dini hawana mamlaka ya kuwasemea waamini wao kwani hata wao hakuna msafi,ameenda mbali zaidi kwa kumtaja askofu flani jina kapuni kwamba alichaguliwa kwa rushwa.

Mkutano huu wa CCM umeandaliwa kujibu mapigo kufuatia mkutano mkubwa wa wazi ulioandaliwa na makanisa yote ya kikristo ya wilaya Kibondo siku ya jumapili ,ambao pamoja na mambo mengine katika mkutano wa umoja wa kidini uliwahamasisha waamini wao waipigie kura ya hapana katiba pendekezwa.

Sasa wananchi wamekerwa na matamshi yake na wameanza miguno.
Huyu kijana mnamfahamu?naona anafanya kampeni yake facebook,huko mtaani mnamfahamu?
10353094_1040645012615555_4534661559093868271_n.jpg
 
Kina mzee Makamba kunukuu vifungu vya biblia na msahafu ni sawa ila Maaskofu na mashehe wakinukuu Katiba ni jinai?
 
Ccm wameishiwa kweli yaani ushauri tuliowapa ACT wa kufanya mikutano sehemu za Stand na madukani ili kupata wasikilizaji wao ndiowanaufanyia kazi...!!! Ukongwe wao uko wapi sasa hawa?

Nilimuona Katibu wao leo tena hawa wameandaa mkutano stendi tena mkutano wenyewe wa Wilaya..!!!! kazi kweli kweli

BACK TANGANYIKA
 
Huyu kijana mnamfahamu?naona anafanya kampeni yake facebook,huko mtaani mnamfahamu?
10353094_1040645012615555_4534661559093868271_n.jpg



Huyu gamba namfahamu,tunamfahamu,hawezi tusumbua wanaMuhambwe kwa sababu wananchi wanamtaka mbunge na diwani anaetokana na wao wenyewe,na si mtu anaegeuza jimbo na wananchi kama vitalu vya kuwindia ,anaekuja kukagua kitalu kama kuna wananyama then anarudi ughaibuni,yeye aendelee kujidanganya kwamba atachaguliwa kwa sababu tu eti amesomea nje
 
Huyu gamba namfahamu,tunamfahamu,hawezi tusumbua wanaMuhambwe kwa sababu wananchi wanamtaka mbunge na diwani anaetokana na wao wenyewe,na si mtu anaegeuza jimbo na wananchi kama vitalu vya kuwindia ,anaekuja kukagua kitalu kama kuna wananyama then anarudi ughaibuni,yeye aendelee kujidanganya kwamba atachaguliwa kwa sababu tu eti amesomea nje
we unadhani ccm watampitisha agombee?acha upinzania najua ccm hawana lao pale,ila huyu hata ccm watampitisha?
 
Navyowajua watu wa hapo Kibondo niwatu wanaojitambua sana,wasikubali kuiludisha Ccm tena kwa sababu kama nikutunyonya walishafanya hivyo.Hapo ndipo nilizaliwa mkuu
 
we unadhani ccm watampitisha agombee?acha upinzania najua ccm hawana lao pale,ila huyu hata ccm watampitisha?


Sasa mkuu unaniambia niache upinzani wakati unafahamu kuwa me ni mpinzani,ok either CCM wakupitishe ama wasikupitishe bt wanaMUHAMBWE hatutakuchagua kabisa,endelea kukaa Dar ama Russia bt Kb sahau
 
Magamba hatarini kutoweka duniani ifikapo october 2015.
-kila mwana c.c.m kichaa cha laana kimempanda
 
we unadhani ccm watampitisha agombee?acha upinzania najua ccm hawana lao pale,ila huyu hata ccm watampitisha?

wewe dada vipi hujielewi?
-muhambwe ni kwa ipinzani tu!
 
Back
Top Bottom