Imeandikwa wapi hayo uyatamkayo?mbona mnahofu nami?kwa sasa kazi tu hakuna majungu
Hicho kiti cha Mbunge aliepo CCM wanampango wa kumpatia yule Mama atakaehamia CDM kutoka ACT
Makubaliano ya Ukawa ni kuwa na mgombea mmoja wa Urais, kugawana majimbo ya Ubunge na Udiwani kutokana na umaarufu wa chama katika maeneo husika, Jingine ni kuwaacha wabunge walioko sasa kuendelea kuomba ridhaa kwenye majimbo yao, hapa kwa kifupi ni kuwa Muhambwe mgombea ni Felix, Kasulu ni Machali, Ubungo Mnyika, Iringa Msigwa etc.
Swali mbona sasa wewe unatangaza nia huku ukijua Felix ndiyo mgombea halali wa Ukawa muhambwe, Je kwa hizi kampeni zako unazojipigia chini chini huoni kama unamuharibia mwana Ukawa Felix, na huoni kama huu ni mwanzo wa mtafaruku utakaoleta makundi wakati wa uchaguzi?.
Halafu washaurini magamba wenzenu waache kupandikiza chuki za kidini,coz taifa hili ni letu sote,hawawezi kuhubiri udini na kutukana viongozi wa dini ,then wakifikiri watabaki salama
Hicho kiti cha Mbunge aliepo CCM wanampango wa kumpatia yule Mama atakaehamia CDM kutoka ACT
Ogah ,
Mimi sikupata bahati ya kuyaona hayo madai ya waislamu juu ya mkapa , ila ningefurahi sana kama ungeyapost hapa . Lakini nadhani ishu ya kujoin vyuo vya elimu ya juu tanzania iko very straight forward na wala aijali dini ,, inategemea grade ulizopata ukiwa kidato cha sita na kozi unayotaka kujoin !
Najua suala hili watu hawataki kuzungumzia lakini ni very sensitive na kuna kila sababu ya kuzungumzia haya mambo before it is too late ! Hivi Jk mwenyewe atajisikieje siku hiyo atakapokuwa akiwaapisha hao mabalozi watano na kila mmoja akiapa kutumia kitabu kimoja tuu cha dini ?
Ndio maana mwanzoni kabisa nimesema ni lazima tunapotoa mawazo yetu hapa ni muhimu kutokuwa too theoretical.
Mpaka sasa utaratibu wa UKAWA ni kusimamisha mgombea mmoja,bt ili kuwapata wagombea utaratibu ni kura za maoni kma ilivyokuwa local government,so kutangaza nia sio tatzo hata kama jimbo linampinzani,ndo mana mwezi ulioisha kamanda Mbowe mwenyekiti wa taifa CDM alikutana nasi watia nia wa kanda ya magharibi makao makuu ya kanda mkoani Tabora,so ingekuwa haturuhusiwi asingewaita watangaza nia,yoyote anaefaa ndani ya UKAWA atapimwa na wananchi na si kisa kuna UKAWA ndo apite mbovu,
Ogah ,
Mimi sikupata bahati ya kuyaona hayo madai ya waislamu juu ya mkapa , ila ningefurahi sana kama ungeyapost hapa . Lakini nadhani ishu ya kujoin vyuo vya elimu ya juu tanzania iko very straight forward na wala aijali dini ,, inategemea grade ulizopata ukiwa kidato cha sita na kozi unayotaka kujoin !
Najua suala hili watu hawataki kuzungumzia lakini ni very sensitive na kuna kila sababu ya kuzungumzia haya mambo before it is too late ! Hivi Jk mwenyewe atajisikieje siku hiyo atakapokuwa akiwaapisha hao mabalozi watano na kila mmoja akiapa kutumia kitabu kimoja tuu cha dini ?
Ndio maana mwanzoni kabisa nimesema ni lazima tunapotoa mawazo yetu hapa ni muhimu kutokuwa too theoretical.
Mkuu Penguine heshima mbele sana mkuu wangu.
Sijauelewa uzi wako unaweza kufafanua tafadhari
Nina mashaka makubwa sana na hili bandiko lako, lakini nikupe benefit of doubt
Je haukubaliani na utendaji wa Mwanaukawa mwenzako Mkosamali hadi uamue kuchukua mikoba yake, Usingeweza kubaki kama mshauri wake tu, na maanisha haukufurahishwa na utendaji wa Mkosamali?..
Nina mashaka makubwa sana na hili bandiko lako, lakini nikupe benefit of doubt
Je haukubaliani na utendaji wa Mwanaukawa mwenzako Mkosamali hadi uamue kuchukua mikoba yake, Usingeweza kubaki kama mshauri wake tu, na maanisha haukufurahishwa na utendaji wa Mkosamali?..
Ni kweli sikueleza vema Ndg. Nikwamba, Yupo Mama mwana CDM, atahamia ACT siku za usoni, atapigiwa debe na ACT na CCM ili kumtoa Mbunge aliepo sasa hapo Muhambwe.Matter of time, nitaleta yote yaliyojili kwenye kikao cha Mkakati wao!
Nina mashaka makubwa sana na hili bandiko lako, lakini nikupe benefit of doubt
Je haukubaliani na utendaji wa Mwanaukawa mwenzako Mkosamali hadi uamue kuchukua mikoba yake, Usingeweza kubaki kama mshauri wake tu, na maanisha haukufurahishwa na utendaji wa Mkosamali?..
mimi nahitaji uhalisia na ukweli. basi. na sio porojo kama hizi zako.Na wewe kinachokusumbua ni nini?
mimi nahitaji uhalisia na ukweli. basi. na sio porojo kama hizi zako.
Penguine.
Mkakati wa Chama tawala ilikuwa ni kumtafuta kijana msomi, mwenyeji wa Kibondo na mwenye ushawishi mkubwa kwa vijana na wazee, mwaka 2014 Mpango ukakamilika atapatikana Nduhi Mapigano, Navyoongea na wewe mpango umeshaisha na kijana amekubali kuchukua jimbo. ACT wataingia ili kusaidia kugawa kura za UKAWA na hili litafanyika na Buyungu pia. Kama anavyosemaga kamanda wa Anga Mh. Mbowe, Politics is a game of dynamics + numbers, hapa piga ua galagaza CCM wanachukua hilo jimbo