Picha: CCM waendelea kujimaliza Muhambwe

Picha: CCM waendelea kujimaliza Muhambwe

2. Wote tunajua sababu zilizompa ushindi mgombe wa NCCR 2010, alijikusanyia maelfu ya kura za hasira kutoka CDM na CCM, Hili unalijua sana limetokea Mbeya Mjini, Iringa Mjini etc
Nilipiga kura Mbeya 2010!Ushindani ndani ya CCM ilikuwa kati ya incumbent Mpesya na kijana Mwang'onda na hatimaye Mpesya akashinda!

Hata angeshinda Mwang'onda bado Sugu angeshinda tena kwa margin kubwa zaidi sababu wave ile ya mabadiliko iliisha waingia wana Mbeya

Madai ya CCM kama walipoteza Jimbo la Mbeya 2010 sababu eti ya migongano yao ya ndani hayana msingi wowote

2015 Sugu atapambana na Elias Mwanjala na huyu ni tishio mno kwa Sugu sababu ya uwezo wake mkubwa wa fedha aliyo nayo!Jamaa huyu ana hela mno
 
Nilipiga kura Mbeya 2010!Ushindani ndani ya CCM ilikuwa kati ya incumbent Mpesya na kijana Mwang'onda na hatimaye Mpesya akashinda!

Hata angeshinda Mwang'onda bado Sugu angeshinda tena kwa margin kubwa zaidi sababu wave ile ya mabadiliko iliisha waingia wana Mbeya

Madai ya CCM kama walipoteza Jimbo la Mbeya 2010 sababu eti ya migongano yao ya ndani hayana msingi wowote

2015 Sugu atapambana na Elias Mwanjala na huyu ni tishio mno kwa Sugu sababu ya uwezo wake mkubwa wa fedha aliyo nayo!Jamaa huyu ana hela mno


Hela ni zake kura ni ZETU
 
Huyu kijana mnamfahamu?naona anafanya kampeni yake facebook,huko mtaani mnamfahamu?
10353094_1040645012615555_4534661559093868271_n.jpg

Mwaka huu Mkosamali hana chake, Jimbo hili linarudi CCM na baada ya ushauri kutoka kwa wazee, vijana na kinamama wa Kibondo hatimaye Mapigano ameamua kuonesha nia. Huyu ndiye Mbunge ajaye wa Muhambwe, Kijana msomi, zao la Kibondo na mtanzania wa kawaida.
 
Kaka Viol heshima mbele sana kaka.

Namfahamu huyu jamaa, nilikutana nae London mwaka 2010 kwa mara ya kwanza kwenye shughuli za chama chao CCM, Kipindi hicho ailikuwa ametokea kwao Kibondo kwenye uchaguzi na alikuwa njiani kuelekea Russia alikokuwa masomoni chini ya scholarship ya serikali hivi majuzi tulikutana kwenye hija ya vijana wa katoliki mjini Tabora. Kuna vitu kadhaa naweza kusema kuhusu huyu jamaa..
1. Ni kijana he's about 28 0r 29
2. Ni msomi ana masters ya masuala ya Utawala katika Serikali Kuu na Manispaa
3. Ni mcha mungu wala hali kilevi
4. Anaipenda Kibondo sana na anaijua haswa, amezaliwa na amesoma Kibondo kmuda mwingi huongelea kibondo na maisha yake ya shule akiwa Kibondo
5. Ni mjengaji hoja mzuri sana
6. Anakipaji cha uongozi..

Asante

Asante mkuu, Hili ni Jembe!!..
 
Wakuu sasa hivi kuna mkutano unaendelea uliondaliwa na CCM ngazi ya wilaya mbali na kukosa watu kituko kikuu ambacho kinaweza kuzua mtafaruku ni maneno ya katibu wa wilaya CCM ,anasema viongozi wa dini hawana mamlaka ya kuwasemea waamini wao kwani hata wao hakuna msafi,ameenda mbali zaidi kwa kumtaja askofu flani jina kapuni kwamba alichaguliwa kwa rushwa.

Mkutano huu wa CCM umeandaliwa kujibu mapigo kufuatia mkutano mkubwa wa wazi ulioandaliwa na makanisa yote ya kikristo ya wilaya Kibondo siku ya jumapili ,ambao pamoja na mambo mengine katika mkutano wa umoja wa kidini uliwahamasisha waamini wao waipigie kura ya hapana katiba pendekezwa.

Sasa wananchi wamekerwa na matamshi yake na wameanza miguno.
attachment.php

Unapiga picha kabla ya mkutano halafu unaleta hapa, bahati nzuri JF siyo kijiwe cha majuha.

NCCR wamepewa dhamana ya miaka 5 wamedhihirisha kuwa hawatoshi kuliongoza jimbo hilo. Kijana msomi Nduhi Mapigano anachukua Jimbo hilo come october 2015.
 
Barabara ya Kidawe kwenda Nyakanazi ndio inaiadhibu ccm huko siasa ya Kigoma ni ya aina yake tusishangae awam hii hata ACT ikanyakua majimbo huko

mkuu well said,siasa za kigoma za kuchagua mtu badala ya chama ilimrad wamkubali,huwez shangaa hata magamba yakiweka anaekubalika akanyakua jimbo
 
Unapiga picha kabla ya mkutano halafu unaleta hapa, bahati nzuri JF siyo kijiwe cha majuha.

NCCR wamepewa dhamana ya miaka 5 wamedhihirisha kuwa hawatoshi kuliongoza jimbo hilo. Kijana msomi Nduhi Mapigano anachukua Jimbo hilo come october 2015.

mkuu,huyo nduhi ndio nani tena? ni gamba? au ni KABUKO wa nyaruyoba maana naona jamaa anawatikisa magamba wenzake watangaza nia hawalali
 
mkuu,huyo nduhi ndio nani tena? ni gamba? au ni KABUKO wa nyaruyoba maana naona jamaa anawatikisa magamba wenzake watangaza nia hawalali

Unauliza swali halafu kabla ya kujibiwa unajijibu mwenyewe, Mapigano ndiyo mbunge wa Muhambwe baada ya october 2015
 
Bwana NicK Kilunga mziki wa huyo kijana hauuwezi wewe, waulize watu waliosoma urusi wanamjua kwa msimamo wake. Ukitaka kujua uwezo wa huyo kijana muulize aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi Capt. Jaka Mwambi pamoja na staffs wa Ubalozini jinsi alivyokuwa akiwapeleka puta kwa msimamo wake katika kutetea haki zetu wanafunzi tuliosoma Urusi. Vinginevyo jipangeni sana chadema na ukawa kwa huyu kijana maana ana roho ngumu zaidi ya chuma
 
Wakuu sasa hivi kuna mkutano unaendelea uliondaliwa na CCM ngazi ya wilaya mbali na kukosa watu kituko kikuu ambacho kinaweza kuzua mtafaruku ni maneno ya katibu wa wilaya CCM ,anasema viongozi wa dini hawana mamlaka ya kuwasemea waamini wao kwani hata wao hakuna msafi,ameenda mbali zaidi kwa kumtaja askofu flani jina kapuni kwamba alichaguliwa kwa rushwa.

Mkutano huu wa CCM umeandaliwa kujibu mapigo kufuatia mkutano mkubwa wa wazi ulioandaliwa na makanisa yote ya kikristo ya wilaya Kibondo siku ya jumapili ,ambao pamoja na mambo mengine katika mkutano wa umoja wa kidini uliwahamasisha waamini wao waipigie kura ya hapana katiba pendekezwa.

Sasa wananchi wamekerwa na matamshi yake na wameanza miguno.
attachment.php

Nikki siasa za kupandikiza chuki za Kidini hazita kupeleka bungeni hata siku moja, halafu ni bora viongozi wa Chadema na Ukawa kwa ujumla wakupe kalipio kali, huwezi kuanza kampeni za ubunge wakati makubaliano ya Ukawa ni kuwaachia majimbo ya upinzani kwa wabunge waliopo, sasa wewe mbona unataka kumtoa Felix Mkosamali, Mbona unataka kuleta mfarakano wa Ukawa Muhambwe?.
 
Nikki siasa za kupandikiza chuki za Kidini hazita kupeleka bungeni hata siku moja, halafu ni bora viongozi wa Chadema na Ukawa kwa ujumla wakupe kalipio kali, huwezi kuanza kampeni za ubunge wakati makubaliano ya Ukawa ni kuwaachia majimbo ya upinzani kwa wabunge waliopo, sasa wewe mbona unataka kumtoa Felix Mkosamali, Mbona unataka kuleta mfarakano wa Ukawa Muhambwe?.



Imeandikwa wapi hayo uyatamkayo?mbona mnahofu nami?kwa sasa kazi tu hakuna majungu
 
Nikki siasa za kupandikiza chuki za Kidini hazita kupeleka bungeni hata siku moja, halafu ni bora viongozi wa Chadema na Ukawa kwa ujumla wakupe kalipio kali, huwezi kuanza kampeni za ubunge wakati makubaliano ya Ukawa ni kuwaachia majimbo ya upinzani kwa wabunge waliopo, sasa wewe mbona unataka kumtoa Felix Mkosamali, Mbona unataka kuleta mfarakano wa Ukawa Muhambwe?.


Halafu washaurini magamba wenzenu waache kupandikiza chuki za kidini,coz taifa hili ni letu sote,hawawezi kuhubiri udini na kutukana viongozi wa dini ,then wakifikiri watabaki salama
 
mkuu,huyo nduhi ndio nani tena? ni gamba? au ni KABUKO wa nyaruyoba maana naona jamaa anawatikisa magamba wenzake watangaza nia hawalali



Magamba mna hali ngumu sana hapa Muhambwe,wekeni yoyote bt mtalose,coz always ua a best loser
 
Back
Top Bottom