Picha: Bwana harusi afariki ajalini akitoka katika sherehe ya send-off

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
20,400
24,984
Huyo mwanaume amekufa kwa ajali ya gari Makambako, alikuwa anatoka Mbeya kwenye send off ya mkewe mtarajiwa na ndoa ilitakiwa ifungwe Jumamosi hii St. Joseph Dar es Salaam.

uploadfromtaptalk1466760708053.jpg


Sent as received!
 
Back
Top Bottom