Picha: Ben Paul ndani ya Emirates first class to USA

Acheni Diamond na Kiba wabaki kua pale Juuu...hawajawahi Lelewa hawa viumbe wawili wana fight zao...sema benpol sio kwamba raia wanamuonea wivu sema anaboa kuleta mapicha picha yake hayo..angekua mtu wa hivyo kabla watu wasngeshangaa.

ila ameibuka ghafla na kuonyesha watu tabia ambazo watu hawakufikiri anazo...ndio mana nawambiaga watu Wanasema Alikiba hana show off...bwana weeeeee HAJAPATA HELA HUYO ata onyesha nini bana kama mwenzake DOMOO?\

Yani ukiwa huna hela watu wanajua kua kama malaika..umaskini mbaya jamani...Haya sasa benpol huyo hapo Pele limemkuta mkunaji...na roho zitauma sana kwakweli Ben nyoosha hawa viumbe.

ila Broooooooooooo omba usiachike
 
nimekuja gundua mwanaume mwenye pesa hataki mwanamke mwenye pesa kadhalika na kwa mwanamke...huwa sjui wanaogopa nini...

sema ben saivi anaimba kama ushahidi tu shenzi type....Broooooo ombea dua sana hiyo ndoa ukiachika usrud bongo maaana sikupatiii picha
 
Pesa ikifata mkondo vizuri huwa haijifichi kiukweli😀😀😀
 
Unachokifanya ni kupaka rangi ukuta alafu unachafua kuwa straight...stori inatufundisha nn?
 
Duuh kijana kakubali kuolewa kiulaiini....
usikute anapangiwa ratiba.....
 

Ahahaah ahsante shoga , sio kwa kichambo hiki , kila mtu apambane na hali yake , mji mgumu huu
 

Na afunge Kwa kweli , maana hiko kichambo chake, atajutraa
 
jamaa kapendana na msichana anayemzidi pesa eti anadanga.......sasa mlitaka aache mapenzi yake kisa ataonekana anadanga????
dah ndio ni celebrity forum Ila............
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…