Picha: ACT-Wazalendo Kasulu Mjini leo

Picha: ACT-Wazalendo Kasulu Mjini leo

Zitto aliisha waambia anayetaka kurudi BUNGENI ajiunge ACT vinginevyo atafute kazi ya kufanya mapema
 
chama cha kigoma. Zitto angetumia nguvu hizi anazotumia sasa kule kigoma wakati akiwa naibu katibu mkuu wa chama. cdm ingekuwa mbali sana kigoma.

Bila matatizo ya viongozi wa Chadema na Zitto basi Chadema ingekuwa mbali sana Kigoma.

Wabunge wote wa NCCR waliopata KIgoma ni matunda ya Chadema wale, NCCR ilivuna tu isipopanda, bahati mbaya wengine Chadema iliwaona ni sisimizi tu wasio na thamani, tukawatupa.
 
Ili majimbo ya Kigoma vyama vya upinxani visigawane kura na kuifanya CCM ishinde kuna umuhimu wa ushirikiano.

ACT na wabunge waliopo sasa waangalie namna ya kushirikiana.

Kwahyo Act mnaamini mtawashinda ukawa
 
Zitto aliisha waambia anayetaka kurudi BUNGENI ajiunge ACT vinginevyo atafute kazi ya kufanya mapema

Nani wa kujiunga na ACT chama cha maigizo kisicho na sera,ujamaa na kujitegemea mmeiga kwa Nyerere,azimio la Tabora mmeiga kwa Nyerere,kauli mbiu ya uzalendo mmeiga kwa Nyerere,operation majimaji mmeiga kwa Kinjekitile kila kitu ni maigizo,mwisho mtakuja kufukua na misukule ya kuwamaliza wenyewe.
 
Ni ukweli Mkuu.....unahisi zitto amenunua huo Umati

Burudani tuu! Kila mtu anayo ya aina yake.
ImageUploadedByJamiiForums1434482206.582305.jpg
 
Upo kishabiki Sana....tueleze ni kwanini wabunge hao warudi act?

Wenye akili kubwa wameliona hilo sasa wew mwenye byt 2.5 unaendeleza tu ubushi , hata Farao hakukubali kuwa kuna mungu hadi pale alipoangamizwa kwa ubushi wake
 
Makao Makuu ya ACT si yangekuwa hukohuko Kasulu na Kigoma, maana Chama hiki kimekaa kiKasulukasulu na kiKigomakigoma!!!!!
Mkuu, mbona chadema inashikasana kanda ya kaskazini hasa arusha na moshi lakini makao makuu yapo ufipa?? Kwa utafiti wa haraka haraka, wakazi wa ufipa wote huwa wanaichagua ccm katika chaguzi zote.
 
ukweli ndugu zangu chadema matusi yanaharibu hadhi ya chama,jenga hoja unapochangia ,tunakuwa na mtindio wa ubongo,chang
 
Makao Makuu ya ACT si yangekuwa hukohuko Kasulu na Kigoma, maana Chama hiki kimekaa kiKasulukasulu na kiKigomakigoma!!!!!

Kama chagadema ilivyokaa ki kaskazini zaidi, Moshi Arusha Manyara!
 
Leo kwa masikio yangu nimemsikia Zitto akisema ACT ni chama cha WAHA na wanakigoma,alisema nani kasema tumbo la mama wa kiha haliwezi kuzaa kiongozi wa chama na eti azae manamba tu wa kuwatumikia watu,Amerudia kauli yake anaetaka kuwa mbunge mkoa wa Kigoma kwenye majimbo yote ahamie ACT, Jinsi niwajuavyo hawa jamaa hawana msimamo kwenye mambo ya siasa ACT inaweza isipate mbunge hata mmoja Kigoma hii,Amerudia kusema ukawa ni kazi yao kugawana madaraka tu hataweza isaidia hii nchi

Do umesikia kwa masikio Yao "basi hayo si masikio ni matobo kabisa bora uingize pamba
 
Kapata wanachama wapya wangapi, manake isijekuwa nyomi For northing
 
Kwa kigoma itakuwa Wabunge hawa wa NCCR na ACT; Chadema haitakuwa na impact Kigoma.

inawezekana kukawa na ukweli ndani yake.

Lakini kwanini Kama zzt anaushawishi mkubwa huko alishindwa kuisaidia chadema kupata wabunge wengi kutoka huko?
 
Back
Top Bottom