Picha: ACT-Wazalendo Kasulu Mjini leo

Picha: ACT-Wazalendo Kasulu Mjini leo

mcubic

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
10,310
Reaction score
6,548
Mnyonge mnyongeni ........
 

Attachments

  • 1434468740210.jpg
    1434468740210.jpg
    25.4 KB · Views: 2,590
  • 1434468773458.jpg
    1434468773458.jpg
    26.3 KB · Views: 3,224
Naona ile kauli inayosema kwamba kama unataka kurudi bungeni ni lazima ujiunge na ACT inaukweli.
 
Naona ile kauli inayosema kwamba kama unataka kurudi bungeni ni lazima ujiunge na ACT inaukweli.

Mkuu kauli hiyo ilitolewa na nani? Huo umati usikutishe sana.....hahaaaaahaaaaa
 
Haya chadema watakuja na matusi hapa
 
Makao Makuu ya ACT si yangekuwa hukohuko Kasulu na Kigoma, maana Chama hiki kimekaa kiKasulukasulu na kiKigomakigoma!!!!!
 
Makao Makuu ya ACT si yangekuwa hukohuko Kasulu na Kigoma, maana Chama hiki kimekaa kiKasulukasulu na kiKigomakigoma!!!!!

Mkuu wala usipate shida hapo ndipo Slaa alipopewa msaada na askari ambao kila siku viongozi wa chadema huwatukana wawapo majukwaani.
 
mkuu nasubiria stori za kutunga kutoka kwa wafuasi wa chama cha zamani kuhusu kuzomewa kwa ndugu Zitto kutoka Kasulu.

Kuzomewa ni hali ya kawaida tu....hao waliomzomea Kabwe naamini yapo pia waliyojifunza kutoka kwake.....
 
Daaah hapo nimeamini ile kauli kuwa bwana wa nccr lzma aingie act tu zitto ni nyoko
 
Back
Top Bottom