Nw imekuwa cdm vs act....kuna uwezekano mkubwa majimbo hay a kurudi ccm ila jumbo LA kafurila haweweza kulichukua Nina 100%.
Kwa kigoma itakuwa Wabunge hawa wa NCCR na ACT; Chadema haitakuwa na impact Kigoma.
Nw imekuwa cdm vs act....kuna uwezekano mkubwa majimbo hay a kurudi ccm ila jumbo LA kafurila haweweza kulichukua Nina 100%.
Mkuu hakuna njia nyingine zaidi ya hao wabunge kujiunga na ACT wazalendo.
Leo kwa masikio yangu nimemsikia Zitto akisema ACT ni chama cha WAHA na wanakigoma,alisema nani kasema tumbo la mama wa kiha haliwezi kuzaa kiongozi wa chama na eti azae manamba tu wa kuwatumikia watu,Amerudia kauli yake anaetaka kuwa mbunge mkoa wa Kigoma kwenye majimbo yote ahamie ACT, Jinsi niwajuavyo hawa jamaa hawana msimamo kwenye mambo ya siasa ACT inaweza isipate mbunge hata mmoja Kigoma hii,Amerudia kusema ukawa ni kazi yao kugawana madaraka tu hataweza isaidia hii nchi
Ili majimbo ya Kigoma vyama vya upinxani visigawane kura na kuifanya CCM ishinde kuna umuhimu wa ushirikiano.
ACT na wabunge waliopo sasa waangalie namna ya kushirikiana.
ACT ilikwisha tuma maombi kujiunga ukawa, ila kwa waliohodhi ukawa waligoma kwa migogoro yao binafsi pasna kuangalia maslah mapana ya taifa!
Leo kwa masikio yangu nimemsikia Zitto akisema ACT ni chama cha WAHA na wanakigoma,alisema nani kasema tumbo la mama wa kiha haliwezi kuzaa kiongozi wa chama na eti azae manamba tu wa kuwatumikia watu,Amerudia kauli yake anaetaka kuwa mbunge mkoa wa Kigoma kwenye majimbo yote ahamie ACT, Jinsi niwajuavyo hawa jamaa hawana msimamo kwenye mambo ya siasa ACT inaweza isipate mbunge hata mmoja Kigoma hii,Amerudia kusema ukawa ni kazi yao kugawana madaraka tu hataweza isaidia hii nchi
Wasaliti kazini
Kiukweli zitto kiboko ya chadema lazima atawalaza nje mapema kabisa.
Kafulila, machali na mkosamali waangalie upya mstakabali wao kisiasa .
Kwani ujio wa act ni tishio kwa msitakabali wa nafasi zao.
Hawajachelewa wanaweza kuwahi nafasi act wazalendo il I kuungana na wazalendo kurudisha nchi kwenye msingi.
mbona zitto kasema ukawa ni umoja wa wasaka tonge?
Amerudia kauli yake anaetaka kuwa mbunge mkoa wa Kigoma kwenye majimbo yote ahamie ACT, Jinsi niwajuavyo hawa jamaa hawana msimamo kwenye mambo ya siasa ACT inaweza isipate mbunge hata mmoja Kigoma hii
wakiingia rasmi watakuwa wamewarahisishia wapinzani wa act kuhalalisha kwamba ni chama cha kigoma