Picha: ACT-Wazalendo Kasulu Mjini leo

Picha: ACT-Wazalendo Kasulu Mjini leo

Kweli ndugu wengi wapo ki mkumbo mkumbotu na humu wapo kiashabiki kuwa akiposti kumpinga zitto ataungwa mkono ila ukweli anao moyoni huo ni utumwa wa fikra

Kama wewe unavyo fuata mkumbo wa kumshangilia huyu kiongozi mkuuuuuuu
 
Bahati mzuri mimi kwetu hakukuwa na umande,imba wewe
Kwamanufaa yawatu wetu, nanchi yetu, mabadiliko ndo sasaaa, kijana kwenu hakuwezi kuwa na umende kwani mnaishi msituni!!
 
Act wanatisha kwa mwendo Huu safari ya magogoni sasa imeiva,
Nawaonea huruma nccr na wabunge wao kwani matumaini yao yapo kigoma ambako sasa hari si shwari .
Bora chadema watampoteza mmoja kwani hawana tena uwezo wa kupata mbunge kigoma wapambane kanda zingine.
Sasa ni zamu ya act kushamiri.
 
Vifuata upepo kimyaa Mmawia vipi upo najua hata Chademakwanza kaanza kushtuka UZALENDO WETUU,TAIFA LETU hahaaa ni KWAMANUFAA YA WATUWOTE team wazalendo

Huyo mtu wenu kila mahali anapigwa mawe,mwisho wake inabidi muanze kutembea na plasta za kufunga vidonda,
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom